Tarehe ya kuwekwa: June 27th, 2025
Na; Amina Pilly
Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini leo juni 27 imekabidhi kompyuta sita zenye thamani ya shilingi milioni 10 kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma, sambamba na kufanya ukarabati ...
Tarehe ya kuwekwa: June 24th, 2025
Na, Amina Pilly
Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mheshimiwa Wilman Kapenjama Ndile, amezindua rasmi Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii katika Stendi Kuu ya Mabasi, kata ya Shule ya Tanga, Halmashauri ya ...
Tarehe ya kuwekwa: June 16th, 2025
Na; AMINA PILLY
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea, Mheshimiwa Michael Mbano, leo tarehe 16 Juni 2025, ameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika katika Kata ya Mfarany...