Tarehe ya kuwekwa: October 27th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amefanya ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo ujenzi wa Hosptali ya Manispaa ya Songea, Ujenzi wa Shule ya Chief Zulu Academy iliyojengwa kwa fedha za mapato ya ndani, ujenzi...
Tarehe ya kuwekwa: October 25th, 2023
TASAF imeendesha na zoezi la utoaji wa mafunzo kwa Waheshimiwa Madiwani kwa lengo la kutambulisha utekelezaji wa mradi wa TASAF awamu ya pili iliyofanyika katika ukumbi wa SACCOS ya Walimu...
Tarehe ya kuwekwa: October 23rd, 2023
Halmashauri ya Manispaa ya Songea imeendesha zoezi la kukabidhi nyaraka za mikataba na kuanza kwa huduma za usimamizi na ujenzi wa barabara za mjini za kiwango cha Lami nzito katikati ya m...