Tarehe ya kuwekwa: May 24th, 2019
MKURUGENZI wa Manispaa ya Songea Tina Sekambo anatoa rai kwa wajasirimali wanaofanya biashara ndogo ndogo katika barabara ya Sovi hadi Planet Bar kuondoa bidhaa zao na vizuizi vingine ili kupisha uten...
Tarehe ya kuwekwa: May 23rd, 2019
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Ruvuma imemfikisha katika Mahakama ya Wilaya ya Namtumbo Mkuu wa shule ya sekondari Nanungu Mohamed Shafii Ngonyani kwa makosa ya rushwa....