MWENYEZI Mungu kila kiumbe amempa uwezo wa kupambana na maadui hata kuweza kujipatia ridhiki yake.Hebu tazama maajabu ya kiumbe hiki kidogo sana ambacho unaweza kukiua kwa vidole kilivyofanikiwa kumwangamiza nyoka na kujipatia kitoweo
Mradi wa ULGSP, ambao unasimamiwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI ,unatekelezwa katika Halmashauri ya Manispa ya Songea ikiwa ni miongoni mwa Halmashauri 18 nchini zinazotekeleza mradi huo.Tazama Master Plan ya Mji wa Songea ambao utaifanya Songea mpya yenye muonekano wa kuvutia kwa kila mmoja ambaye atabahatika kutembelea Songea ambayo ndiyo makao makuu ya Mkoa wa Ruvuma.
MRADI wa ULGSP unatekelezwa kwenye mji wa Songea ikiwa ni moja ya Halmashauri 18 nchini.Mradi huu umesaidia Halmashauri hii kuwa miongoni mwa miji inayokuwa kwa kasi kubwa. Hivi sasa Wananchi wanafurahia miundombinu ya barabara, vilevile wananchi wanatumia stendi ya mabasi iliyoboreshwa huku wakisubiria stendi ya kisasa inayoendelea kujengwa katika eneo la Kata ya Tang.
Mradi wa ULGSP pia umeongeza mapato ya ndani na ufungaji wa mfumo wa kielektroniki wa ukusanyaji wa mapato uitwao Local Government Revenue Collection Information System (LGRCIS),
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa