• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ALAT RUVUMA KUJADILI NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA HALMASHAURI.

Tarehe ya kuwekwa: September 21st, 2021

NA,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

21.09.2021

ALAT ni Jumuiya ya tawala za mitaa Tanzania ambayo iliundwa kikatiba mwaka 1984 Desemba na kuanza kutumika rasmi mwaka 1985 kwa lengo la kupigania haki za Halmashauri na kuwa sauti moja katika kuleta maendeleo ya Halmashauri husika pamoja na kufanya mawasiliano ya karibu na Serikali kuu.

Hayo yamebainishwa na Wakili wa Serikali ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Seligius Ngahi katika kikao maalum cha ALAT Mkoa wa Ruvuma ambacho kilihudhuriwa na Wakurugenzi wa Halmashauri 8, Wenyeviti wa Halmashauri 7, Meya 1 kutoka Manispaa ya Songea na uongozi ngazi ya Mkoa kilichofanyika leo tarehe 21 Septemba 2021 katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa lengo la kujadili na kupitisha taarifa mbalimbali na kupeleka taarifa hizo kwenye kikao cha Jumuiya ya tawala za mitaa (ALAT) Taifa.

Ngahi alisema kwamba ALAT ni chombo kinachosaidia kukuza maendeleo ya Serikali za mitaa zilizo huru na kutoa mchango katika kupeleka madaraka kwa wananchi, kuwasaidia madiwani, Mameya na wenyeviti katika majukumu yao kama wawakilishi waliochaguliwa kidemokrasia pamoja na kutoa uongozi, kuhimiza, kukuza ufanisi, uhuru,uwajibikaji, uwazi na demokrasia kwenye mfumo wa Serikali za Mitaa Tanzania na kwingineko duniani.”Alibainisha”

Naye Katibu wa ALAT Mkoa wa Ruvuma Grace Quintine amewataka viongozi wote kutoa ushirikiano wakati wa kujadili changamoto za Halmashauri husika mara zinapojitokeza kupitia vikao vya ALAT ambavyo husaidia kutatua changamoto hizo.

Kwa upande wake Kelvin Mapunda ambaye ni Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Ruvuma ametoa rai kwa viongozi wa Halmashauri zote Mkoani Ruvuma kusimama imara na kutekeleza wajibu wao kwa lengo la kuleta maendeleo yenye tija kwenye Halmashauri zao.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa