• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

Tarehe ya kuwekwa: May 29th, 2025

Iringa, Tanzania – Ugeni kutoka Chama cha Mamlaka za Serikali za Mitaa (ALAT) Mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na Baraza la Madiwani kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze umetembelea Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kwa lengo la kujifunza mbinu bora za ukusanyaji wa mapato kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Akizungumza wakati wa mapokezi, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Mhe. Ibrahim Ngwada, alisema ujio wa wageni hao ni ishara ya kuthamini mchango na mafanikio ya Halmashauri hiyo katika nyanja mbalimbali.

"Tunashukuru kwa ujio wenu. Tunaamini mtajifunza mengi kupitia Halmashauri yetu ikiwemo usafi wa mazingira, elimu bora, ufugaji wa kisasa, pamoja na utalii – sekta ambazo Iringa imeendelea kuwa mfano wa kuigwa," alisema Mhe. Ngwada.

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, CPA Mwajuma Mohamed, alisema Chalinze ina mapato yanayofikia bilioni 18 kwa mwaka, lakini bado wanaendelea kuboresha mifumo yao ya ukusanyaji mapato ambapo  alibainisha kuwa ziara hiyo imelenga kupata maarifa kutoka Iringa ambayo imefanikiwa kupitia vyanzo mbalimbali vya mapato na miradi endelevu.

Naye Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Ruvuma, Mhe. Kelvin Mapunda, alieleza kuwa ziara hiyo inalenga kujifunza jinsi Iringa imeweza kuongeza mapato kupitia miradi ya maendeleo, usafi wa mazingira, pamoja na ujenzi bora wa miundombinu ya ofisi za chama na halmashauri.

Wakati wa ziara yao, wajumbe hao walitembelea kiwanda cha maziwa cha ASAS, mashamba ya mifugo ya ASAS yaliyopo Matembo na Igingilanyi, pamoja na vivutio mbalimbali vya utalii na uwekezaji ndani ya Manispaa ya Iringa, ambavyo vimechangia kwa kiasi kikubwa katika kukuza mapato na uchumi wa ndani ya mkoa huo.

Ziara hiyo imeanza kufanyika kuanzia tarehe 25 hadi 30 Mei 2025.

NA;

AMINA PILLY

ALAT  RUVUMA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa