• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ALAT RUVUMA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI SONGEA DC

Tarehe ya kuwekwa: April 30th, 2023

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Ruvuma Mhe. Kelvin Mapunda  amewataka Viongozi na Wataalamu Mkoani Ruvuma kuhakikisha wanasimamia zoezi la utoaji wa  chakula kwa wanafunzi shuleni.

Akizungumza na wazazi wa shule ya Msingi Maleta iliyopo kata ya Ndongosi Halmashauri ya Wilaya ya Songea wakati wa Ziara ya kamati ya ALAT ( Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania) kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi maendeleo ya Halamshauri ya  Wilaya ya Songea.

Amepongeza wananchi wa kitongoji cha  Maleta kwa kuweka Mkakati rafiki  ambao unatekelezeka na wananchi hao kwa  kuwa na mwitikio mkubwa wautoaji wa chakula kwa wanafunzi 327 wakiwemo wavulana 160 na wasichana 167. “Aliwapongeza”.

Mhe, Mapunda amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan imeweka Mpango Mkakati wa kuondoa changamoto ya uhaba wa miundombinu ya shule kwa shule za Msingi kupitia mradi wa BOOST ambao unatarajia kutekelezwa ifikapo mwaka wa fedha 2023/2024.

Aliongeza kuwa pamoja na Mkakati huo amewataka wananchi kuendelea kuwa na uzalendo wa kuchangia nguvu za wananchi wakati wa  utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika kitongoji hicho.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mwl. Neema Maghembe alisema “ Ziara ya kamati ya ALAT Mkoa wa Ruvuma ilianza kwa  kutembelea miradi ya maendeleo ikiwemo na ujenzi wa madarasa mawili na ofisi ya walimu shule ya Msingi Maleta  “Shikizi” ambayo ilijenhgwa kwa gharama ya shilingi Mil. 40  ikiwa nguvu za wananchi ni shilingi 3,260.000, Mfuko wa Jimbo tsh  2,000,000, ofisi ya Mkurugenzi kiasi cha Mil 16,000,000  fedha za mapato ya ndani pamoja na vifaa vya ujenzi.  Mwl.   Maghembe aliwashukuru.

Mwl Maghembe ametoa shukrani kwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassani kwa kuwapatia fedha  zaidi ya  Bil 2  kwa ajili ya kujenga  Hospitali ya Wilaya  ikiwa  ni miongoni mwa Halmashauri  8 Kitaifa  zilizopewa  fedha kwa ajili  kujenga  jengo la Wagonjwa wa  TB na Ukoma. 

Shule ya Msingi Maleta ipo katika kijiji cha Ndongosi katika kata ya Ndongosi ambayo ilianza kama shule shikizi yenye jumla ya wananfunzi 327.

Kwa upande wananchi kutoka katika kitonoji cha Maleta wakitoa shukrani zao kwa  Serikali ambapo walisema “wamejipanga kuendelea kujitolea kutoa michango yao kwa  lengo la kuendeleza shule hiyo.“

 

IMEANDALIWA NA,

AMINA PILLY

MWANDISHI ALAT MKOA WA RUVUMA. 

 






Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa