• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ASHINDA KWA KISHINDO KWA KURA 1872 CHRISTOPHER KAYOMBO

Tarehe ya kuwekwa: September 19th, 2023

Msimamizi Msaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata Bakari Kawina ametangaza matokeo ya uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Mfaranyaki ambao ulikuwa na wagombea  6  kutoka  vyama mbalimbali vya siasa ikiwemo na AAFP, ACT WAZALENDO, CCM, CUF, NCCR MAGEUZI, na UDP.

 Uchaguzi huo umekuja  mara baada ya kutokea kwa kifo cha aliyekuwa Diwani wa kata ya Mfaranyaki marehemu Ajira Kalinga ambaye alifariki tarehe 09 April 2023.

Akitangaza Matokeo hayo Msimamizi msaidizi ngazi ya kata alisema  "jumla ya waliojiandikisha kwenye daftari la wapiga kura  kata ya Mfaranyaki ni  6603     kati ya hao waliopiga kura ni  1985 ,  kura zilizokataliwa  ni  17 ,   kura  halali   ni  1968, hivyo Mgombea Christopher Kayombo ametangazwa kuwa mshindi wa Udiwani katika kata ya Mfaranyaki ."


 Ushindi huo umetangazwa leo tarehe 19 Septemba 2023 katika ukumbi wa ofisi ya kata ya Mfaranyaki kwa kushirikisha wahusika wanaoruhusiwa kuwepo wakati wa kujumlisha kura.

Aidha,  uchaguzi huo ulikuwa na wagombea 6 ambao ni  Mgombea Mohamed Sandali  Sony kutoka chama cha AAFP amepata kura 06 , Mohamed Selemani  Haule  - ACT WAZALENDO  amepata kura 76 ,  Christopher  Fabian Kayombo -  CCM amepata kura  1872,  Ahamad Alon Mambo  - CUF amepata kura 10 ,  Pius Luoga  Samola  - NCCR MAGEUZI amepata  kura   03,  pamoja na  mgombea  Nasibu Selemani Haule – UDP amepata kura 01.


IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa