• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mikopo ya Asilimia 10% inavyonufaisha Vikundi vya Wanawake, Vijana, na Watu wenye Walemavu

Tarehe ya kuwekwa: November 12th, 2022

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea kupitia Idara ya Maendeleo ya jamii inaendelea kuratibu na kusimamia  shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo na utoaji wa mikopo ya asilimia 10%  kwa wanawake 4%, vijana 4% na walemavu  2%  kwa mwaka 2021/2022 Tshs milioni 465 zilitolewa kwa lengo la uwekezaji na kiuchumi kwa vikundi.

Ili kufikia lengo lililokusudiiwa Halmashauri ya Manispaa ya Songea imetenga maeneo rasmi ya uwekezaji wa viwanda  kwa vikundi 11  vya ushonaji, kiwanda cha utengenezaji wa batiki, kiwanda cha uchakataji maziwa, kiwanda cha Welding na Aluminium, kiwanda cha uchakataji wa mazao ya nyuki pamoja na kiwanda cha uchakataji wa mafuta ya alizeti.

 Utekelezaji wa ujenzi wa viwanda vidogo kata ya Lilambo  ulishakamilika sambamba na ununuzi wa vitendea kazi kwa  kila kiwanda tajwa na hatimaye uwekezaji wa  vikundi  kiuchumi umeanza kufanya kazi katika nyanja  mbalimbali.

Mhandisi Fredrick Mbawala amesema amepokea mashine ya kukamua mafuta ya alizeti na karanga iliyonunuliwa kwa gharama ya shilingi   Mil.  36,300,000 ambayo ameanza kuifunga   kwa ajili ya kikundi cha Tumaini ambapo alibainisha kuwa  “ Mashine hiyo ni bora na ya kisasa  kwasababu inauwezo wa kukamua, kuchemsha, na kuchuja mafuta ya alizeti Tan  6.5 kwa siku ambapo mara baada ya kukamilisha kufunga mashine  ukamuaji wa mafuta utaanza hivi karibuni. “Alibainisha”

Bi Halima Mango ni miongoni mwa wanakikundi cha Tumaini  alianza kwa kutoa pongezi kwa Serikali kwa  kuwakopesha kiasi cha  fedha mil. 70  ambazo zimetumika kujenga   jengo na kununua mashine  ambayo itatumika kwa ajili ya kukamua mafuta ya alizeti na karanga.          “ alipongeza”  

AMINA PILLY,

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Apongeza kwa Utekelezaji wa Miradi

    May 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Songea Akizindua Stendi ya Bajaji - Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa