• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI LATOA AGIZO UTOAJI WA CHAKULA SHULENI.

Tarehe ya kuwekwa: May 20th, 2023

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano amewataka Wataalamu wote kuhakikisha wanatoa ushirikiano katika kutekeleza   miradi ya maendeleo  na  kuikamilisha  kwa wakati  kabla ya tarehe 30 juni 2023.

Amesema  kila kiongozi anatakiwa kuwajibika katika eneo lake kwa  kuishirikisha jamii husika ili  kutatua changamoto za wananchi ikiwemo na miundombinu ya shule, Afya na Barabara kwa lengo la kuunga mkono jitihada za Serikali ya awamu ya  sita.

Alibainisha kuwa, katika kipindi cha  robo ya kwanza Manispaa ya Songea ilipokea zaidi ya Bil. 1.5  pia katika kipindi cha robo ya pili na ya tatu Manispaa  ya Songea imepokea Bil. 1.5 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Alipongeza”.

Mhe. Mbano amewataka Madiwani wote kutembelea kata ya Matogoro kujifunza namna walivyoweza kufanikisha kutatua changamoto za madawati kwa shule za msingi na Sekondari kwa lengo la kuondoa changamoto mbalimbali za wananchi “. Alisisitiza.”

Ametoa wito kwa wataalamu kuhakikisha wanaongeza bidii ya ukusanyaji wa mapato ya ndani, utoaji wa chakula kwa wananfunzi shuleni, pamoja na usafi wa mazingira.” Mhe. Mbano alibainisha.”


Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Wilaya  ya Songea Mjini Komredi Mwinyi Msolomi amewataka Wataalamu kusimamia usafi wamazingira hususani katika maeneo ya Soko, na makazi ya watu.

Naye katibu wa CCM Wilaya ya Songea Mjini  James Mgego ametoa wito kwa watumishi na Madiwani kuhakikisha wanasimamia miradi ya maendeleo na kuongeza juhudi za ukusanyaji wa mapato ya ndani ili kufikia lengo lililokusudiwa  na Serikali.

IMEANDALIWA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI. 

 

 


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa