• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SONGEA KUPOKEA TAARIFA YA UWASILISHAJI WA HESABU ZA MWAKA 2021/2022

Tarehe ya kuwekwa: September 28th, 2022

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano amewataka wakuu wa Idara na Vitengo kuendelea kusimamia miradi Viporo yote na kukamilisha ifikapo tarehe 01 Oktoba  2022 kabla ya kuanza kwa ujenzi wa  miradi mipya  ya madarasa ambayo yanatakiwa kuanza kujengwa hivi karibuni kwa ikiwa ni  maandalizi ya kupokea wananfunzi wa kidato cha kwanza 2023.

Kauli hiyo imetamkwa leo 28 Septemba 2022 katika baraza la Madiwani la Halmashauri kwa lengo la kuwasilisha taarifa ya hesabu za mwaka 2021 hadi 2022 ambalo ni utekelezaji wa sheria ya Serikali za Mitaa ya 1982 kifungu na.40 kama ilivyorekebishwa mwaka 2000 ambayo imeeleza bayana kuwa “Halmashauri nchini zinapaswa kufunga hesabu na kuwasilisha kwa mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) si zaidi ya tarehe 30 Septemba ya kila mwaka. “

Mbano alieleza kuwa Swala la Hoja sio la Mweka Hazina pekee bali ni la kila Mkuu wa idara anatakiwa ahakikishe Idara yake inaleta majibu ya Hoja inayomhusu  ili Taasisi iweze kuwa na mwendelezo wa kupata Hati Safi, Hivyo amewataka wataalamu hao kujibu hoja zote kwa usahihi na kukamilisha  ifikapo 01 Oktoba 2022 hoja zote ziwe zimejibiwa.  Alisisitiza.

Kwa upande wake  Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema amewataka Wataalamu mara baada ya kufunguka kwa mfumo wa malipo wahakikishe wanasimamia miradi  ambayo ilikuwa haiendelezwi kutokana na  tatizo la mfumo wa malipo kutofunguka kwa wakati.

Pololet   amewaagiza wataalamu kuwa  wahakikishe  wanatekeleza na kukamilisha Miradi yote ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya, kituo cha afya Lilambo, Kituo cha afya Mletele, ujenzi wa mabweni na madarasa shule ya wavulana na wasichana Songea inakamilika mapema iwezekanavyo.

Naye kaimu Mweka Hazina Manispaa ya Songea Mustafa Matili amesema kuwa uundaji wa hesabu kuishia 30 juni 2020 umezingatia sheria za fedha, sheria ya manunuzi ya mwaka 2011, sheria ya fedha za Serikali za mitaa ya mwaka 1982 kama ilivyorerekebishwa mwaka 2000, pamoja na miongozo inayotolewa na bodi ya uhasibu, Sera za Nchi na Halmshauri ya  Manispaa ya Songea.

Matili aliongeza kuwa Fedha taslimu imeongezeka kutoka shilingi 1,299,046,043 mwaka 2021 hadi shilingi 1,702,294,995 kwa mwaka 2022 ambayo imetokana na fedha za ujenzi wa vituo vya afya ambazo zilipokelewa mwishoni mwa mwaka.


IMEANDALIWA NA 

AMINA PILLY.



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 05, 2026
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2026 January 19, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kapenjama Ndile, Atoa Ufafanuzi Kuhusu Bei ya Bei ya Mbolea, Atoa Rai Matumizi ya Nishati Mbadala.

    February 18, 2026
  • Kapenjama Ndile, Atoa Ufafanuzi Kuhusu Bei ya Bei ya Mbolea, Atoa Rai Matumizi ya Nishati Mbadala.

    February 18, 2026
  • Mtella Apongeza Mafanikio ya Mkataba wa Lishe Songea MC; Aelekeza Bima ya Afya kuwa Ajenda ya Kudumu

    February 11, 2026
  • Mtella Apongeza Mafanikio ya Mkataba wa Lishe Songea MC; Aelekeza Bima ya Afya kuwa Ajenda ya Kudumu

    February 11, 2026
  • Tazama zote

Video

Yaliyojiri Kikao cha DCC Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • KOI200
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • toto slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • toto
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • situs toto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • toto slot
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • situs toto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • toto slot
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77