• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Bei elekezi ya mbolea mkoani Ruvuma

Tarehe ya kuwekwa: January 30th, 2020

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Hali ya upatikanaji wa mbolea katika Mkoa wa Ruvuma

Katika msimu wa kilimo 2019/2020 wakulima wameitikia kilimo kwa kuongeza ukubwa wa mashamba na kutumia teknolojia pamoja na mbinu za kilimo bora. Hali hii imechochewa  na  bei nzuri ya mazao ya msimu 2018/2019. Mbolea nyingine zimeendelea kupatikana isipokuwa UREA imeonekana kuhitajika kwa wingi.

Upungufu wa mbolea ya UREA

Katika msimu huu wa 2019/2020 kumekuwa na ongezeko la matumizi ya mbolea za kukuzia aina ya UREA. Juhudi kubwa za ufumbuzi zimefanwa na Serikali kwa kuingiza meli za mbolea kwa awamu tofauti. Meli ya kwanza ilishusha tani elfu 10 mwezi Januari 2020 ambazo zilisambazwa kwa wakulima na meli ya pili inaendelea kushusha jumla tani elfu 43 katika bandari ya Dar es salam ambazo ambazo zitafika kwa wakulima mwanzoni mwa mwezi Februari 2020.

Wafanyabiashara wa mbolea wa Mkoa wa Ruvuma wanaaswa kwenda Dar es salaam kuchukua mbolea na kuzisambaza kwa wakulima kwa kuzingatia sheria kanuni na miongozo.

Matumizi ya mbolea mbadala

Mkulima anashauriwa kutumia mbolea mdadala kukuzia mazao yake endapo mbolea ya UREA itakuwa haipo sokoni. Mbolea hizo ni SA, CAN, Minjingu Top-Up, YARA Cereal, YARA Amidas na  YARA Sulfan.

Usimamizi wa bei elekezi za mbolea

Mkoa wa Ruvuma na halmashauri zake umepewa jukumu la kusimamia mwenendo wa bei za mbolea kwa mujibu wa sheria ya mbolea ya mwaka 2009 na kanuni zake kama zilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2011 na 2017.

Mbolea zinazohusika katika manunuzi ya mbolea kwa pamoja (BPS) ni UREA na DAP. Bei hupangwa kwa kuzingatia umbali wa maeneo ya pembezoni kama majedwali yanavyoonekana;

(i). Bei elekezi za mbolea UREA Msimu 2019/2020

Na
Halmashauri

Bei ya rejareja (TSh) - mkulima

Bei ya jumla (TSh) - mfanyabiashara

1

MADABA (Mtyangimbole)

55,195

52,663

2

MBINGA DC (Muungano)

56,424

53,836

3

MBINGA TC (Kihungu)

55,854

53292

4

NATUMBO DC (Magazini)

56,364

53,778

5

NYASA DC (Mipotopoto)

56,844

54,236

6

SONGEA DC (Lilahi)

55,531

52,983

7

SONGEA MC (Mwengemshindo)

55,195

52,663

8

TUNDURU (Kalulu Via Lindi)

54,775

52,263

(ii). Bei elekezi za mbolea DAP MSIMU 2019/2020

Na

Halmashauri

Bei ya rejareja (TSh)

Bei ya jumla (TSh)

1

MADABA (Mtyangimbole)

59,663

56,348

2

MBINGA DC (Muungano)

60,881

57,498

3

MBINGA TC (Kihungu)

60,316

56,965

4

NATUMBO DC (Magazini)

60,821

57,442

5

NYASA DC (Mipotopoto)

61,296

57,891

6

SONGEA DC (Lilahi)

59,996

56,662

7

SONGEA MC (Mwengemshindo)

59,663

56,348

8

TUNDURU (Kalulu Via Lindi)

59,247

55,956

Kufungua mifuko

Kumetokea tabia ya watu kufungua na kuuza kwa kupima mbolea kwa watumiaji wadogo ya mazao ya bustani. Hairuhusiwi kufungua mifuko ya mbolea na kuipima kwani inaharibu ubora wa mbolea. Mbolea hupoteza ubora kupitia mvuke na kubaki makapi mabayo hayafai kwa  mmea.

Hilo ni kosa na atakayebainika itampasa kupelekwa kwenye vyombo vya sheria ili apate adhabu ya kufungwa au kulipa faini kwa mujibu wa sheria.

Onesmo Kenani Ngao

AFISA KILIMO – RS RUVUMA

29/01/2020

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa