• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BENKI ya Dunia yatoa bilioni 27 kuchangia miradi ya maendeleo Songea

Tarehe ya kuwekwa: May 29th, 2018

BENKI ya Dunia imetoa zaidi ya sh.bilioni 27 katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mkoa wa Ruvuma  kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo  ambayo inachangia kukuza uchumi wa  manispaa hiyo.Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Tina Sekambo  Akizungumza  ofisini kwake mjini Songea jopo la wanahabari walioongozwa na Kitengo cha mawasiliano cha TAMISEMI  ametaja miradi ambayo imefadhiliwa na Benki ya Dunia  kuwa ni ukarabati wa barabara za lami nzito zenye urefu wa kilometa 10.3 zilizogharimu zaidi ya sh.bilioni 10 na ujenzi wa Stendi mpya ya kisasa katika eneo la Kata ya Tanga  ambao awamu ya kwanza inagharimu shilingi bilioni sita. 

Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo miradi mingine ni ujenzi wa machinjio ya kisasa katika eneo la Kata ya Tanga  ambao umegharimu shilingi bilioni 3.2,ujenzi wa bustani ya kisasa ya Manispaa ya Songea uliogharimu zaidi ya sh.milioni 399  na ukarabati wa Stendi ndogo katika eneo la Kata ya Mfaranyaki ambao umegharimu zaidi ya sh.bilioni tatu. Amesema miradi yote ikikamilika itachochea uchumi wa manispaa hiyo na kuongeza ajira na mapato ya ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea. 

Hata hivyo ili miradi yote iwe endelevu  ametoa rai kwa wananchi wa Manispaa hiyo kuilinda miradi hiyo  na kuwa ficus wote ambao watafanya hujuma ya aina yoyote  ikiwemo kuharibu miundombinu ya miradi hiyo ambayo imegharimu mabilioni ya fedha. Manispaa ya Songea ni miongoni mwa Halmashauri 18 nchini za miji na manispaa zinazotekeleza  mpango wa  kukuza uchumi wa Halmashauri hizo kupitia Benki ya Dunia. 

Imetolewa na Albano Midelo 

Afisa Habari wa manispaa ya Songea 

Mei 29,2018 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa