• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

CCM MKOA YAZINDUA KAMPENI

Tarehe ya kuwekwa: September 15th, 2025

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua rasmi kampeni zake za kuwanadi wagombea wa nafasi za ubunge na udiwani kwa Mkoa wa Ruvuma, kupitia mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika tarehe 15 Septemba 2025 katika viwanja vya Shule ya Msingi Namtumbo.

Uzinduzi huo umehudhuriwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Mhe. Ally Salum Hapi, pamoja na maelfu ya wanachama na wapenzi wa CCM. Lengo kuu la mkutano huo lilikuwa ni kufungua rasmi kampeni kwa ajili ya kuwanadi wagombea wote wa CCM kupitia nafasi za ubunge na udiwani katika Mkoa wa Ruvuma.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mhe. Hapi aliwashukuru wananchi na wapenzi wa CCM kwa kujitokeza kwa wingi, huku akiwapongeza kwa kuendelea kuunga mkono juhudi za maendeleo zinazoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Aidha, alieleza mafanikio makubwa yaliyopatikana chini ya uongozi wa Dkt. Samia, hususan katika sekta za afya, elimu, miundombinu, na uwezeshaji wa wajasiriamali.

Mhe. Hapi alitumia nafasi hiyo kuwaomba wanachama na wapenzi wa CCM kumpigia kura Dkt. Samia Suluhu Hassan katika nafasi ya urais kupitia CCM, akisisitiza kuwa bado yapo mengi makubwa atakayoyafanya kwa maendeleo ya Taifa na hasa kwa Mkoa wa Ruvuma ambapo aliongeza  kuwa zaidi ya Tsh bilioni 200 zimetengwa kwa ajili ya mikopo kwa wajasiriamali, pamoja na maboresho makubwa katika utoaji wa huduma za afya.

Aidha, aliwahimiza wanachama na wananchi wote kuwapigia kura wagombea wa CCM katika nafasi za ubunge na udiwani ili kuhakikisha chama hicho kinapata ushindi wa kishindo katika uchaguzi ujao.

Katika mkutano huo wa hadhara, walihudhuria pia wagombea mbalimbali wa nafasi ya ubunge na udiwani akiwemo:

Dkt. Juma Omera – Mgombea ubunge Jimbo la Namtumbo

Dkt. Damas Ndumbaro – Mgombea ubunge Jimbo la Songea Mjini

Mhe. Jenister Mhagama – Mgombea ubunge Jimbo la Peramiho

Jackline Msongozi na Mariam Nyoka – Wagombea wa ubunge viti maalum Mkoa wa Ruvuma

Akizungumza mgombea wa jimbo la Namtumbo Dkt. Juma Homera ambaye alisema anafahamu wananchi wa wanamtumbo wanahitaji kuboreshewa na kupata huduma za maji, Barabara, Afya  pamoja, elimu, kilimo pamoja na huduma mbalimbali kwa wananchi, na baada ya kusema hayo aliomba kura kwa wananchi.

 

Mkutano huo ulihitimishwa kwa hamasa kubwa kutoka kwa wanachama na wapenzi wa CCM, huku wakiahidi kuiunga mkono CCM kwa ushindi mnono katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 05, 2026
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2026 January 19, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kapenjama Ndile, Atoa Ufafanuzi Kuhusu Bei ya Bei ya Mbolea, Atoa Rai Matumizi ya Nishati Mbadala.

    February 18, 2026
  • Kapenjama Ndile, Atoa Ufafanuzi Kuhusu Bei ya Bei ya Mbolea, Atoa Rai Matumizi ya Nishati Mbadala.

    February 18, 2026
  • Mtella Apongeza Mafanikio ya Mkataba wa Lishe Songea MC; Aelekeza Bima ya Afya kuwa Ajenda ya Kudumu

    February 11, 2026
  • Mtella Apongeza Mafanikio ya Mkataba wa Lishe Songea MC; Aelekeza Bima ya Afya kuwa Ajenda ya Kudumu

    February 11, 2026
  • Tazama zote

Video

Yaliyojiri Kikao cha DCC Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • KOI200
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • toto slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • toto
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • situs toto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • toto slot
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • situs toto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • situs toto
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • toto slot
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77