• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DAS SONGEA AMEWATAKA WANANCHI KUTAMBUA UMUHIMU WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO YA 2050

Tarehe ya kuwekwa: August 13th, 2024

DIRA ni muongozo unaotumika kuonesha nini cha kufanya, eneo la kufanya, na wakati wa kufanya na watu wa kuwafanyia  ambayo inaweza kuwa ya muda mfupi wa miaka 5, au muda mrefu wa miaka 25,50 au 75.

Kutokana na umuhimu wa kuwa na maendeleo yanayotokana na Falsafa thabiti, inayoongozwa na wananchi wenyewe ndipo wazo la DIRA ya maendeleo ya muda mrefu lilipojitokeza ambalo ni azma ya Serikali ya kuamsha matumaini na uzalendo wa wananchi ndipo Serikali ilipokuja na DIRA ya kwanza ya Maendeleo ya Taifa.

 Hayo yamejiri wakati wa kikao cha awali cha maandalizi kuhusu DIRA ya Taifa ya Maendeleo 20250 ambacho kimefanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea ambacho kilihudhuriwa na wadau mbalimbali, Viongozi wa dini, vyama vya siasa, na wataalamu kutoka katika Halmashauri za Wilaya ya Songea kwa lengo la kutoa maoni ya DIRA ya Taifa ya Maendeleo ya 2050

Akizungumza Katibu Tawala Wilaya ya Sopngea, Ndugu Mtella Mwampamba ambaye alimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Songea, ambapo alisema” Mwaka 2000 chini ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Benjamini William Mkapa (R.I.P) ambaye ndiye Mhasisi wa DIRA alikuja na DIRA ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025 ambayo inaendelea kutekelezwa hadi sasa.”

Mwampamba alibainisha kuwa, DIRA ya maendeleo ya mwaka 2025 imewzesha kuleta mafanikio ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ikiwemo na Nchi kuingia kwenye nchi za kipato cha kati,na kuimarika kwa huduma za Elimu kwa ngazi zote (Kitaifa, kikanda, Kimkoa, Kta na ngazi ya kata.)

Aidha, Kufuatia ukomo wa utekelezaji wa DIRA ya 2025, Serikali kupitia Tume ya Mipango imeshaanza mchakato wa maandalizi ya Dira mpya ambao ulizinduliwa rasmi na Mheshimiwa Dkt. Isdor Mpango Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mwezi Aprili mwaka 2023 Jijini Dodoma.

Kwa upande wa Washiriki wa Kikao hicho  walipongeza Serikali kwa kuwa DIRA ya Taifa ya Maendeleo ambayo ni muongozo unaotumika katika kuonesha nini cha kufanya, eneo la kufaya,  wakati wa kufanya na  kuifanyia jamii.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa