• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC NDILE ATOA MAAGIZO KWA WATAALAMU KUHAKIKI WANAFUNZI WASIORIPOTI SHULE.

Tarehe ya kuwekwa: February 2nd, 2023

Mkuu wa wilaya ya Songea Wilman Kapenjama Ndile amewataka Maafisa wa Watendaji wa Kata na Mitaa kuhakikisha wanasimamia zoezi la usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ya mitaa wanayoongoza.

Agizo hilo limejiri wakati wa kikao kazi cha Mkuu wa Wilaya ya Songea chenye dhamira ya kujitambulisha kwa watumishi wa Manispaa ya Songea kilichofanyika leo tarehe 02 Februari katika Ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Mhe.Ndile ameanza kwa kutoa shukrani kwa Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kumteua na kumwamini kumpa nafasi ya kuwatumikia wananchi wa Songea ambapo amewataka watumishi hao kutoa ushirikiano katika kutekeleza  majukumu ya Serikali ili kufanikisha lengo lililokusudiwa.

Aliongeza kuwa Duniani kote kuna watumishi wamewekwa kwa lengo kuu ni kurahisisha namna ya utendaji wa kazi pamoja na  kutekeleza wajibu wa Serikali uliowekwa wa kutoa huduma bora kwa jamii bila vikwazo vyovyote. “ Mhe. Ndile alisisitiza.”

Amebainisha kuwa “ Katika utumishi wa umma  mahusiano na ushirikiano ni jambo jema sana ambalo huwezesha mtumishi kupata amani na furaha  katika mazingira ya kufanyia kazi ambayo husaidia  kuleta ufanisi katika kutekeleza majukumu ya Serikali. Alisisitiza”

Amewataka watendaji wa Kata na Mitaa pamoja na Idara ya Elimu kuhakikisha wanafuatilia suala la wanafunzi wasioripoti shule wa  kidato cha kwanza  ambapo amewataka wazazi wote ambao watoto wao hawajawapeleka shule wahakikishe wanawapeleka watoto wao kabla hawajachuliwa hatua za kisheria.

Kwa upande wake Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano amewataka watumishi kuwajibika kufanya kazi kwa kila mtu katika eneo lake na msifanye kazi kwa mazowea na kuhaidi kuwa maagizo na maelekezo yote yaliyotolewa yatafanyiwa kazi.

Mwisho.

 

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI. 



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bil. 22.9 Kujenga Masoko ya Kisasa Manzese A na B, na Kiwanda cha Kuchakata Mazao ya Nafaka Lilambo

    July 06, 2025
  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Tazama zote

Video

Makabidhiano ya Mkataba Soko la Manzese A&B
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa