• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC Songea azindua jaribio la awali la mashine mpya ya kuchinjia nyama, 'Machinjio ya Kisasa Tanga.'

Tarehe ya kuwekwa: January 23rd, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema ametembelea mradi wa Machinjio ya kisasa iliyopo kata ya Tanga Manispaa ya Songea na kuzindua jaribio la awali la  matumizi ya  mashine mpya na  ya kisasa ya kuchinjia nyama  liililofanyika leo tarehe 22 Januari 2021.

Pololet alisema machinjio hii kwa ukubwa wake imegharimu billion 5.7 ambao endapo kama wateja watapatikana inakadiliwa  kuchinjwa ng’ombe kati ya 100 hadi 200 kwa siku moja pia inasaidia kuonyesha uzito wa ng’ombe aliyechinjwa, muda aliochinjwa, ubora wa nyama yenyewe, pamoja risiti/ billi ya iliyo  lipwa.

Amewataka wataalamu hao kutafuta  masoko nje ya Mkoa/ Nchi ili kutangaza biashara  kwa  kuwapata wawekezaji  wengi Zaidi ili machinjio iweze kufanya kazi kwa ufanisi  na kutimiza malengo tarajiwa yaliyowekwa na serikali.

Ametoa rai kwa wachinjaji hao  kufanya kazi kwa ufanisi ikiwemo na kupata  mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kiutendaji ili waweze kufanikisha kuchinja ng’ombe  mmoja kwa kwa haraka na kwa  kutumia dakika 10 hadi 15 na   hatimaye waweze kuhudumia sehemu kubwa Zaidi.

Alisema baada ya kukamilika kwa asilimia 100% za maandalizi  ya maeneo machinjio hayo itatakiwa kufunga machinjio ya Msamala na maeneo mengine yote yanayochinja nyama kwa lengo la kuhakikisha nyama zote zinazoliwa zinakuwa safi, salama kwa walaji.

Akizitaja faida zitakazopatikana baada ya kufunguliwa kwa machinjio hiyo ni pamoja na ongezeko la ajira, kuongezeka kwa mapato, pamoja na upatikanaji wa nyama bora.

Machinjio hiyo inatarajiwa kuanza kazi hivi karibuni mara  baada ya kukamilika kwa maandalizi mbalimbali ya kiutendaji.

 IMETAYARISHWA NA;

AMINA PILLY;

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

22.01.2021

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa