• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DED Nyasa aagiza vikao vya wakuu wa Idara na Vitengo kufanyika eneo la mradi

Tarehe ya kuwekwa: June 3rd, 2019

Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Nyasa Jimson Mhagama amebadilisha eneo la kufanyia mikutano ya wakuu wa idara inayofanyika Ofisini kwake kila ijumaa na Jumatatu asubuhi na kufanyia eneo la ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Nyasa inayojengwa katika Kijiji cha Nangombo Kata ya Kilosa Wilayani hapa ili kuhakikisha ujenzi huo unakamilika kabla ya juni 30 mwaka huu.

Ameyasema hayo leo wakati akiongea na mwandishi wa habari hizi Ofisini kwake kuhusu maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya inayoendelea kujengwa katika Kijiji cha Nangombo.

Mhagama alifafanua kuwa amelazimika kubadili eneo la kufanyia vikao vya wakuu wa Idara Wilayani hapa kutoka Ofisini kwake hadi kufanyia eneo la Ujenzi wa Hospitali katika kijiji cha Nangombo kwa lengo la kuongeza ufanisi wa kazi ili kila mkuu wa idara aone kwa macho maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya mpaka itakapokamilika yenye lengo la kutatua kero za wananchi wa Wilaya ya Nyasa waliokuwa wakitembeai umbali wa kilomita 66 kufuata Huduma za Matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya mbinga.

Aliongeza kuwa vikao vyote vya wakuu wa idara alivyokuwa akivifanya Ofisini kwake sasa amevihamishia katika eneo la ujenzi na kila mkuu wa idara na Vitengo wanatakiwa kushiriki bila kukosa mpaka juni 30 tutakapokuwa tumeshakamilisha ujenzi huu wa Hospitali ya Wilaya ya Nyasa.

“kuanzia leo vikao vyote vya kiutawala vinavyojumisha Wakuu wa idara na Vitengo vitakuwa vinafanyika katika eneo la Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Nyasa katika Kijiji cha Nangombo kata ya kilosa na kila Mkuu wa idara na Vitengo wanatakiwa kufika bila kukosa wala kuchelewa. Mheshimiwa Rais amezitoa fedha hizi kwa ajili ya kukamilisha ujenzi huu kwa wakati tuna kila sababu ya kusimamia ujenzi huu kwa nguvu zote” alisema Mhagama.

Aidha katika hatua nyingine amempongeza sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kwa kuwajali wananchi wa Wilaya ya Nyasa kwa kuwapa fedha ya kujengea Hospitali ya Wilaya ya Nyasa kwa kuwa walikuwa wakitembea umbali mrefu kufuata huduma za matibabu.

Aidha bwana Jimson Mhagama alitoa wito kwa wananchi wa Wilaya ya Nyasa kutembelea na kuona jinsi ujenzi unavyoendelea na kutoa maoni na ushauri kwa kuwa Hospitali hii ni mali ya wana Nyasa.

Imeandaliwa na 

NETHO SICHALI

AFISA HABARI

WILAYA YA NYASA

0767417597

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa