• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DKT. NDUMBARO ATOA SARUJI, NA KOMPYUTA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA S/M MATOGORO.

Tarehe ya kuwekwa: July 25th, 2023

Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro (MB) amewataka wananchi wa Manispaa ya Songea Kutumia fursa ya Msaada wa  kisheria Mama Samia inayoendelea kutolewa katika wiki ya Msaada wa Kisheria iliyozinduliwa kitaifa na Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango.

Hayo yamejiri katika Ziara ya Mhe. Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini iliyofanyika tarehe 25 julai 2023 akiwa katika Kata ya Matogoro iliyofanyika kwa lengo la kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza kero za Wananchi.

Akizungumza na Wananchi, Dkt. Ndumbaro (MB)  alisema “ Tarehe 17 Julai alitembelea kata ya Matogoro kwa lengo la kusikiliza kero za wananchi ambapo Wananchi waliwasilisha Changamoto zao ikiwemo na Ombi la kompyuta, na Saruji ambapo alitoa Msaada wa Saruji mifuko 10, Kompyuta moja 1  pamoja na fedha shilingi 1,000,000 kwa ajili ya  matengenezo ya  kisima cha shule.”

Dkt. Ndumbaro alisema Shule ya Msingi Matogoro imepokea fedha Mil. 40 kwa ajili ya ukarabati wa wa madarasa yote chakavu  ambapo utelezaji wa mradi huo unatarajia kuanza mwaka Mpya wa fedha 2023/2024.

Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara iliyoanza kufanyika tarehe 17 julai 2023 ambapo alifanikiwa kutembelea kata ya Matogoro, Kata ya Bombambili, Kata ya Mletele,  Kata ya Mshangano, Kata ya Tanga, pamoja na kata ya Ruhuwiko.

Imeandaliwa na;

Amina Pilly;

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini. 



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa