• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

FAHAMU kozi zinazotolewa na Chuo cha VETA Songea

Tarehe ya kuwekwa: September 10th, 2018

MKUU wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA kilichopo Msamala Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma anatangaza kozi ndefu na fupi zinazotolewa na chuo hicho ambazo zinamwezesha mhitimu kuajiriwa au kujiajiri mwenyewe.

KOZI NDEFU NI

1.Ufundi wa magari

2.Uungaji vyuma

3.Umeme wa magari

4.Umeme wa majumba

5.Useremala

6.Uashi

7.Ufundi bomba

8.Ushonaji  nguo

9.Uhazili na kompyuta

10.Matumizi ya kompyuta

KOZI ZA MUDA MFUPI

1.Udereva wa magari(daraja D)

2.Udereva wa magari ya abiria na pikipiki

3.Uhazili

4.Ukarabati wa kompyuta

5.Utumiaji wa kompyuta

6.Umeme wa majumba

7.Umeme wa jua

8.Ulimbwende(Saloon ya kike)

9.Utengenezaji wa dawa za usafi,sabuni za maji na upishi

10.Utengenezaji wa batiki na sabuni

11.Ufugaji kuku

12.Uandaaji wa vyakula(Catering).

 Lengo la serikali kuanzisha vyuo vya VETA ni kutoa ujuzi kwa wahitaji wote mahali  popote walipo ili kupunguza changamoto ya ajira nchini ambayo inawakabili wananchi wengi.

KUMBUKA VETA Songea imedhamiria kuwajengea uwezo wahitimu wa fani  mbalimbali kabla ya  hawajaingia rasmi kwenye soko la ajira.

Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba zifuatazo:

SIMU:0767237543 AU 0754652674

EMAIL:songeavtc@veta.go.tz

WOTE MNAKARIBISHWA

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa