• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

FAHAMU WCF MFUKO WA FIDIA KWA MFANYAKAZI.

Tarehe ya kuwekwa: December 31st, 2020

Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Workers compensation Fund dependant compensation claims form ( ni Taasisi ya hifadhi ya jamii iliyoundwa kwa mujibu sheria ya fidia kwa wafanyakazi yenye lengo kuu la kuanzishwa kwa mfuko wa fidia  kwa wafanyakazi ni kushughulikia masuala ya fidia kwa wafanyakazi waliopo katika Sekta Rasmi (Umma na Binafsi) Tanzania Bara ambao wataumia,  kuugua ama kufariki kutokana na kazi.

Afisa Madai Mwandamizi Ibrahim Iyombe kutoka ofisi ya Mfuko wa jamii (CWF) Dar es salaam akitoa mafunzo elekezi kwa watumishi wa manispaa ya Songea, yaliyofanyika 31.12.2020 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea.

 Iyombe alibainisha kuwa WCF ni mfuko wa Serikali ambao husaidia kulipa fidia kwa mtumishi kwa wakati kwa watu walioumia kutokana na kazi, kuugua, kufariki huku akitekeleza jukumu lake la kazi pamoja na  jukumu la kuzuia au kukinga ajali na vifo kazini kwa kutoa elimu kwa waajiri na wafanyakazi wenyewe.

Alisema“ mfuko huo  hutoa huduma  Kama kuna tukio la ajali, ugonjwa au kifo wakati Mfanyakazi akitekeleza majukumu yake ya ajira  Mfanyakazi akiwa ameumia au ameugua au kufariki kutokana na tukio la ajali au ugonjwa utokanao na kazi, au Mfanyakazi amepata ulemavu.

Aliongeza  kuwa WCF hutoa huduma  za matibabu, malipo ya ulemavu wa muda, malipo ya ulemavu wa kudumu, malipo kwa anaye hudumia mgonjwa, huduma za ukarabati na ushaurina nasaha, malipo kwa tegemezi endapo mwanachama amefariki, na malipo ya msaada wa mazishi / rambirambi, huduma za kumsafirisha mgonjwa.

Mfanyakazi atapata malipo haya endapo atapata majeraha yanayotokana na ajali kazini au ataugua      kutokanna kazi na kumfanya apate ulemavu wa muda mfupi. Malipo haya yatatolewa kwa kipindi kisichozidi miezi 24. Alisisitiza Iyombe.

Fidia ya malipo ya ulemavu wa muda utategemeana na ukubwa wa jeraha au ugonjwa na muda        utakaokadiriwa  na daktari, Kwa ulemavu wa muda mfanyakazi atapata fidia ya 70% ya kipato cha mwezi cha mfanyakazi wakati wa ajali au ugonjwa, kutegemea na muda na asilimia ya ulemavu.

Aliongeza kuwa Kama tukio la ajali/ugonjwa/kifo limetokea, au tukio hilo limepelekea kuumia/ugonjwa/kifo pia Mwajiri anatakiwa kutoa taarifa ofisi kuu Mfuko wa jamii  ndani ya siku 7 kwa kutumia Fomu WCN- 1 ikiambatana na ripoti ya vipimo kutoka hospitalini inayoonyesha kugundulika kwa ugonjwa (Medical Diagnosis report,)

Aidha  Baada ya kupokea taarifa ya ugonjwa Mfuko utafanya  tathmini ya awali ili kuthibitisha kama ugonjwa huo unatokana na kazi au laa.

Kama ugonjwa utagundulika umetokana na kazi, Mfuko utamruhusu mwajiriwa kupata matibabu chini ya Mfuko na taratibu za fidia kuendelea.

Aidha, watumishi waliohudhuria mafunzo hayo wamepata  kufahamu elimu namna ya kujisajili, kuwasilisha michango yao WCF, na namna ya kudai fidia pamoja na mafao yote yanayotolewa na mfuko wa WCF.

Mwisho alisema mfuko huo hauhusiki katika kutoa huduma kwa mtumishi za magonjwa sugu kama kansa labda chanzo cha ugonjwa huo uwe unasababisha na  mazingira ya kazini au ajali kazini.

 

 

 IMENDALIWA NA;

AMINA PILLY;

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

31 Ddisemba 2020.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa