• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

FAHAMU YALIYOJILI SIKU YA MAADHIMISHO YA UFUGAJI NYUKI DUNIANI 2021 KUELEKEA KILELE CHA MAJIMAJI SEREBUKA.

Tarehe ya kuwekwa: July 30th, 2021

Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania, imefanya maadhimisho ya siku ya ufugaji nyuki duniani ambayo hufanyika kila  ifikapo tarehe 20 Mei ya kila mwaka, ambapo kutokana na kuwepo kwa janga la corona duniani,  mwaka huu maadhimisho hayo yamefanyika kitaifa hapo  jana tarehe 29 Julai 2021 katika uwanja wa Majimaji Mjini Songea Mkoani Ruvuma.

Katika  kutekeleza mkakati wa sera ya Taifa ya ufugaji nyuki ya mwaka 1998 yenye malengo 6 ambayo yatatekelezwa katika kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2021 hadi 2031 ikiwemo na kutumia rasilimali  misitu  kwa ajili ya kuanzisha hifadhi  za nyuki kwa lengo la kuongeza uchumi na pato la Taifa.

 Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa  Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Kayanza Peter Pinda ambaye alitoa elimu kwa wananchi na wataalamu mbalimbali kuhusiana na namna ya kufuga nyuki kibiashara ili kuongeza uchumi na pato la Taifa kiujumla pamoja na kuzindua vibanda vya wajasiliamali waliojitokeza kwenye maadhimisho hayo yaliyoambatana na uzinduzi wa tamasha la Majimaji Serebuka ambayo yalianza 24 julai na kumalizika 31 julai 2021.

Aliongeza kuwa kuna faida nyingi zitokanazo na zao la nyuki ambazo ni kuongeza virutubisho mwilini, pia sumu ya nyuki hutumika kama tiba kwa magonjwa mbalimbali ikiwemo na kansa pamoja na Virusi vya Ukimwi (VVU). “Alibainisha”

Mizengo alihamasisha wananchi kutumia rasilimali misitu kama fursa kwa ajili ya kuanzisha hifadhi za nyuki ili kuwepo na upatikanaji wa mazao ya nyuki ya kutosha pamoja na kutengeneza ajira kwa vijana.’Alieleza’

Kwa upande wake Mbunge wa Songea Mjini na Waziri wa Maliasili na utalii Dkt. Damas Ndumbaro alimshukuru Mgeni rasmi kwa kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi kuhusiana na ufugaji wa nyuki na ameahidi Wizara ya Maliasili na Utalii  kuhakikisha zao la nyuki linakuwa bora barani Afrika na duniani kwa ujumla.

Kauli mbiu ya Maadhimishi ya siku ya ufugaji nyuki duniani ni;

“FUGA NYUKI KWA MAENDELEO YA VIWANDA NA USALAMA WA CHAKULA”

 

IMEANDALIWA NA,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

30.07.2021.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa