• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALI ya usafi wa mazingira manispaa ya Songea inaridhisha

Tarehe ya kuwekwa: October 29th, 2018

HALI ya usafi katika Mitaa  yote 95 ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, inaridhisha kwa sababu ya zoezi la usafi wa mazingira kuwa endelevu kwa kufanya usafi wa mazingira kila jumamosi ya mwisho wa mwezi.

Mkuu wa Idara ya Usafi wa Mazingira katika Halmashauri hiyo Philipo Beno anasema,hali ya ujenzi wa vyoo katika mitaa 95  imefikia asilimia 98.02 kwa vyoo vya kawaida na asilimia 83.6 vyoo bora, ambapo Serikali ilitoa fedha kiasi cha Shilingi milioni 15,000,000 kutekeleza shughuli hizo katika mwaka wa fedha 2017/2018.

  • ”Manispaa imepokea dawa za kuulia Wadudu wa Mbu Larvicide kutoka kibaha, jumla ya lita 1000 pia tumegawa vyandarua 35,874 kwa mwaka 2016/2017 na  vyandarua 39,062 viligawiwa kwa mwaka 2017/2018 kipaumbele kiliwekwa kwa wazee na wanafunzi ili kudhibiti ugonjwa wa Malaria‘‘,anasema Beno.
  •  Hata hivyo anasema dawa hizo zilikuwa za aina mbili, Biolavircides-Bactive (BIT) zenye muongozo mililita mbili mpaka tano kwa mita ya mraba moja, ambazo zilikuwa madumu 25 sawa na lt 500 na dawa aina nyingine Biolalvircides-Griselesf (BS) yenye muongozo wa mililita 5 mpaka 10 kwa mita moja ya mraba, ambazo zilikuwa madumu 25 sawa na lt 500.
  • Amesema jumla ya mazalio ya wazi (madimbwi) yaliopuliziwa ni mita za mraba 32,000 kwa kutumia Biolavircides-Bactive (BIT) na mazalio yaliofunikwa yaliopuliziwa ni  50,000 mita za mraba sawa nakaro 250   kwa kutumia Biolalvircides-Griselesf (BS).

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Samia Awasili Ruvuma.

    July 30, 2025
  • Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

    July 29, 2025
  • Songea MC Yadhamiria Kuboresha Lishe na Kuondoa Udumavu

    July 25, 2025
  • Songea MC - Yaibuka na Ushindi katika Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Namtumbo.

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Dkt. Samia Akiwasili Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa