• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HATMA ya Dunia kutokana na uchafuzi wa mazingira

Tarehe ya kuwekwa: August 17th, 2018

DUNIA inakabiliwa na changamoto kubwa ya mabadiliko ya tabianchi hali ambayo inaifanya Sayari ya Dunia kuwa njia panda.

Kutokana na hali hiyo viongozi wa nchi na serikali wa mataifa 150 duniani Desemba 2015 walifanya mkutano wa kilele wa mabadiliko ya tabia mjini Paris nchini Ufaransa,wakijitwisha dhamana ya mpango wa kihistoria wa kuepusha maafa ya ongezeko la Joto duniani.

Viongozi hao walipendekeza  mpango wa kudhibiti uchafuzi wa mazingira unaofanywa na binadamu na kuepusha athari mbaya zaidi za mabadiliko ya tabia nchi ambazo zinaweza kuangamiza viumbehai wote duniani.

Katika mkutano huo ulioshirikisha watu zaidi ya 900 walifikia makubaliano ya kupunguza joto duniani, baada ya jitihada za msukumo wa awali wa viongozi wa dunia kutoonesha mafanikio ya kutosha.

Miongoni mwa vikwazo vilivyokwamisha makubaliano ya awali ni  nafasi ya mataifa mawili makubwa yenye kuelezwa kufanya uchafuzi mkubwa wa mazingira China na Marekani kufanya jitihada ndogo katika utekelezaji wa jitihada za ustawi wa mazingira.

China imeahidi kutekeleza majukumu yake katika makubaliano yaliyowekwa ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi licha ya kuwa Marekani haitoshiriki katika makubaliano hayo.

Akizungumza nchini Ujerumani Waziri Mkuu wa China, Li Keqiang alikaririwa na vyombo vya habari vya kimataifa akisema kuwa nchi yake, inataka kuwa nchi ya kupigiwa mfano katika harakati za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Hata hivyo hatma ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi imeingia dosari mwishoni mwa mwezi Mei mwaka 2017 baada ya Rais wa Marekani Donald Trump  kutangaza nia ya kujiondoa katika makubaliano ya Paris ya mwaka 2015 kuhusu kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Nchi saba tajiri (G7) zenye maendeleo makubwa ya viwanda na demokrasia zimekutana katika mkutano wa kilele huko Sicily nchini Italia na kwamba Kati ya viongozi wa G7 ni viongozi sita tu ndiyo wamekubaliana kuunga mkono mfumo wa makubaliano ya Paris

Marekani ambalo ni Taifa kubwa lenye viwanda vingi limekataa kuunga mkono Mkataba wa mabadiliko ya tabianchi ya Paris,yaliyotiwa saini miaka miwili iliyopita ili kupunguza hali ya joto duniani.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa