• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HEKTA moja nchini Poland inatoa tani 11 za mahindi

Tarehe ya kuwekwa: July 18th, 2018

 NCHI  ya Poland iliyopo katika Bara la Ulaya inatajwa kuwa ndiyo inayoongoza katika bara hilo katika uzalishaji wa zao la mahindi ambapo hekta moja inazalisha tani 11 za mahindi.

 Mkurugenzi wa Kampuni ya FEERUM tawi la Tanzania David Munanka akizungumza kwenye mdahalo wa wafanyabiashara kwenye tamasha la Majimaji Selebuka amesema kwa kushirikina na nchi ya Poland FEERUM TANZANIA inatarajia kujenga maghala ya kisasa ili kuyafanya mahindi ya Tanzania kuwa na soko la kimataifa.

 Munanka amesema Kampuni hiyo itatoa teknolojia ya kuhifadhi kisasa bila kutumia dawa ambayo huwezesha mahindi kukaa zaidi ya miaka mitatu bila kuharibika na kuwa na ubora wa kimataifa kama ilivyo katika nchi ya Poland.

Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa nchini inayoongoza kwa uzalishaji wa zao la mahindi,hata hivyo changamoto kubwa ni ukosefu wa soko na pembejeo za kilimo hali ambayo inaleta changamoto kubwa kwa wakulima na wafanyabiashara wa mkoa huo.Mbunge wa Songea mjini Dk.Damas Ndumbaro anasema hali hiyo ndiyo iliyomsukuma kuwaleta watalaam wa kilimo toka nchini Poland  wakiongozwa na Kaimu balozi wa Poland nchini Tanzania Dk.Evelina Lubieniecka ambaye alifika manispaa ya Songea kwenye mdahalo wa wafanyabiashara wa Songea.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Samia Awasili Ruvuma.

    July 30, 2025
  • Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

    July 29, 2025
  • Songea MC Yadhamiria Kuboresha Lishe na Kuondoa Udumavu

    July 25, 2025
  • Songea MC - Yaibuka na Ushindi katika Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Namtumbo.

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Dkt. Samia Akiwasili Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa