• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HOMA ya ini hatari zaidi ya UKIMWI

Tarehe ya kuwekwa: July 29th, 2018

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inaendelea kutoa chanjo dhidi ya Homa ya Ini aina ya B kwa watoto pamoja na watu wazima hususan walio katika hatari zaidi ya maambukizi.

Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof Muhammad Bakari Kambi katika kuadhimisha kilelele cha siku ya Homa ya Ini duniani inayoadhimishwa Julai 28 kila mwaka.

“Tunaendelea kupima damu kwa ajili ya kubaini maambukizi ya virusi, vikiwemo vile vinavyosababisha Hepatitis, kabla ya wagonjwa kupatiwa damu hiyo pamoja na kutoa chanjo kwa watoto na watu wazima “ amesema Prof. Kambi

Prof. Kambi ameeleza kuwa Wananchi wa Tanzania na Afrika Mashariki wapo katika hatari ya kupata maambukizi ya Homa ya Ini, hususan aina ya B na C, kutokana na kuwa njia za maambukizi ya Virusi hivi hufanana na zile za maambukizi ya VVU. Huku akiongeza kuwa kwa sasa, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, inaandaa utaratibu mzuri wa namna ya kuifikia jamii iliyobaki hasa wale walio katika hatari zaidi ya maambukizi ili kuweza kupatiwa chanjo.

“Kwa Tanzania, takwimu kutokana na tafiti chache zilizopo zinaonesha uwepo wa maambukizi ya virusi vya Homa ya Ini aina ya B na C. Mfano, kati ya wachangiaji damu 200,000 kwa mwaka 2016, asilimia 6(takriban watu 12,000) walikuwa na maambukizi ya  Homa ya Ini aina ya B.”

Kwa mujibu wa takwimu za ugonjwa huo Prof. Kambi alisema kuwa Shirika la Afya Duniani kupitia ripoti ya Homa ya Ini ya mwaka 2017 zinaonesha kuwa, mnamo waka 2015 kulikuwa na vifo milioni 1.34 kutokana na Homa ya Ini ambavyo vilikuwa sawa na vifo vitokanavyo na Kifua Kikuu na zaidi ya vile vitokanavyo na ugonjwa wa UKIMWI ambavyo vilikuwa milioni 1.1.

Siku ya Ugonjwa wa Homa ya Ini Duniani (World Hepatitis Day), huadhimishwa kila ifikapo tarehe 28 Julai wakati kauli mbi9u ya mwaka huu ikiwa ni “Pima, Tibu Homa ya ini


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa