• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

JE wajua vita ya Majimaji ilisababisha vifo vya watu takribani 300,000

Tarehe ya kuwekwa: March 28th, 2019

 Anaitwa Kinjekitile"Bokero" Ngwale. Jina maarufu zaidi katika historia ya Tanzania. Ni vigumu kuizungumzia Historia ya vita vya Majimaji pasipo kumtaja Shujaa huyu.

 Alizaliwa huko Ngarambe (Umatumbi) Tanzania.  Kuhusu tarehe, Mwezi na Mwaka aliozaliwa bado havijawekwa katika kumbukumbu sahihi. 

 Alinyongwa mwezi Agosti mwaka 1905 na maafisa wa Ujerumani kwa kosa la uchochezi.

 Mwanzoni mwa karne ya 20 aliwashawishi watu katika Ukanda wa Kusini ya Tanzania kusimama kidete na kupambana dhidi ya mtutu wa bunduki wa Wajerumani waliokuwa wakiitawala Tanganyika wakati wa ukoloni, akiwaahidi kuwalinda kwa maji ya miujiza. 

 Mwanaume huyu anachukuliwa kama ishara ya upinzani dhidi ya utawala wa kikoloni wa Ujerumani nchini Tanzania. 

 Alidai kwamba yeye ni roho na kwa sababu hiyo akawataka watu wa Tanganyika kuwapinga Wakoloni ambapo aliwapa maji aliyodai kuwa na dawa ambayo yangewafanya wasiweze kudhurika.

 Inaelezwa kwamba aliipata dawa hiyo kutoka kwa roho aliyejitokeza kwake katika umbile la  nyoka, akamburuza Kinjeketile chini ya maji na alipoibuka baada ya saa ishirini na nne, alikuwa amekauka na akaanza kufanya utabiri.

 Anafahamika pia kwa kuyaunganisha makabila ya eneo hilo na kadri ujumbe wake ulivyozidi kusambaa, akachangia kuwa mtu wa kwanza kuleta utaifa katika ardhi ya Tanganyika.

 Anajulikana pia kwa kuwaambia wafuasi wake kwamba iwapo watatumia maji yake yaliyo na dawa, risasi za Wajerumani hazingewaingia yaani zingeyeyuka.

 Anafahamika kwa kuwa mwanzilishi wa vita vya Maji Maji, ingawa yeye mwenyewe alikufa kwa kunyongwa muda mfupi baada ya vuguvugu hilo kuanza. 

 Kati ya mwaka 1905 na 1907 Vita hivyo vilishika kasi na vilikuwa mojawapo ya vita vikuu dhidi ya ukoloni barani Afrika.

 Inakadiriwa kwamba kati ya watu 180,000 hadi 300,000 walifariki dunia wakati wa vita hivyo huku sababu nyinginezo kama njaa na magonjwa zikichagiza zaidi watu kupukutika.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Apongeza kwa Utekelezaji wa Miradi

    May 05, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Awataka Waajiri kuzingatia Misingi ya Utawala Bora

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Songea Akizindua Stendi ya Bajaji - Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa