• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

JESHI la polisi mkoani Ruvuma lamkamata Mchungaji Feki,latoa tahadhari kwa wananchi

Tarehe ya kuwekwa: August 14th, 2019

WATU wanaodaiwa kuwa ni  Mganga na Mchungaji feki wamekamatwa na Jeshi la polisi   Mkoani Ruvuma wakijaribu kuwatapeli wananchi kwa lengo la kujipatia fedha .

Akizungumza na waandishi  wa habari ofisini  kwake Kamanda wa Polisi mkoani Ruvuma ACP Simon Maigwa, amemtaja mtuhumiwa Deo Mapunda miaka 32 kabila la mmatengo ambaye  amejifanya mganga  wa kienyeji  na kudai kuwa anaweza kufufua watu waliokufa akishirikiana na wenzake wawili wakiwa na jeneza ambalo ndani yake kulikuwa na mtuhumiwa Abdul.

Maigwa alifafanua kuwa  mtuhumiwa huyo aliwadanganya wanakijiji kuwa marehemu huyo angefufuka baada ya masaa sita baada ya kitendo  wananchi walieanda nyuma ya nyumba hiyo na kugundua kuwa mtu huyo ametoweka katika mazingira ya kutatanisha ndipo wananchi waligundua kuwa wanataka kutapeliwa .

“wananchi hao waliamua kumkamata na kuchoma moto jeneza hilo kisha kumfikisha mtuhumiwa kituo cha polisi Songea, katika mahojiano hayo mganga huyo alikiri kuwa yeye sio mganga anayeweza kufufua mtu ila ni njia aliyoweza kuitumia kwa ajili ya udanganyifu”.amesema Maigwa.

Kamanda ameendelea kuelezea kuwa katika nyumba ya wageni ya maeneo ya Bombambili Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma  ndipo alipokamatwa mtuhumiwa Adinikas Kyuvu miaka 45 raia wa Kenya aliyejifanya mchungaji kwa lengo la kuwatapeli wananchi.

Amesema mtuhumiwa huyo alikutwa  akiwa na vifaa ambavyo havihusiani na uchungaji kama vipande vya chupa, shanga, kwato za Ng’ombe, chupa tano za ubani na kifuu cha nazi  vifaa hivyo vinatumika kutapeli watu wakati wa maombezi kuwaaminisha anatenda miujiza  na vipande vya chupa vinatoka kinywani mwa binadamu.

Jeshi la polisi mkoani Ruvuma linatoa rai kwa wananchi kuchukua tahadhari hasa katika kipindi hiki cha mavuno na kutoa taarifa kwa jeshi la polisi  ili kuwakamata watuhumiwa hao na kuwafikisha katika vyombo vya dola..

Imeandaliwa na

Jamila ismail

Kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Agosti 13,2019

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Apongeza kwa Utekelezaji wa Miradi

    May 05, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Awataka Waajiri kuzingatia Misingi ya Utawala Bora

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Songea Akizindua Stendi ya Bajaji - Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa