• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

JUMLA ya shilingi milioni 40 zatumika kujenga zahanati ya Lupapila

Tarehe ya kuwekwa: September 2nd, 2019

MRADI wa ujenzi wa zahanati ya Lupapila Kata ya Subira Manispaa ya Songea umegharimu kiasi cha Tsh.40,000,000.

Mtendaji kata Subira Alexander Kapinga  ametoa taarifa ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Zahanati ya Lupapilakwa Wajumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma.

Kapinga amesema kati ya fedha hizo Tsh.36,000,000  ni fedha kutoka Halmashauri na Tsh.4,000,000 ) ni nguvu za Wananchi ,ujenzi huu unatarajiwa kukamilika mwaka huu wa fedha ambapo Tsh.20,000,000/= (milioni ishirini) imetengwa.

Kapinga amesema kata ya Subira ni miongoni mwa Kata 21 zilizopo Manispaa ya Songea  ambapo ina jumla ya mitaa 8 na wakazi 8876 kati yao wanaume wapo 4402 na wanawake 4474, shughuli za kiuchumi zinazofanyika ni Kilimo ,Ufugaji ,Uvuvi  na Biashara ndogondogo.

Ameendelea kuzungumza kuwa ujenzi huu uliibuliwa na Wananchi wa mtaa wa Mahinya na Ngandula kata ya Subira baada ya kukosa huduma za kiafya ambapo Wananchi walianza kwa kufyatua tofali 28,000 na mmoja alijitolea eneo kwaajili ya ujenzi  ambao ulianza 25/5/2010.

“Lengo la mradi huu ni kurahisha upatikanaji wa huduma za afya karibu na wakazi wa Lupapila wapatao 2452 na mitaa jirani kama vile Subira kati, Nangwahi na Muungano”.Amesema Kapinga.

Pia baada ya kukamilika kwa ujenzi wa Zahanati hii tunatarajia kuanza ujenzi wa Zahanati nyingine katika mtaa wa Muungano ambao hupo mbali na upatikanaji wa huduma za afya.

Imeandaliwa na

Jamila myovela

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Septemba 2, 2019

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa