• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kamati ya Fedha na Uongozi yakagua miradi ya maendeleo

Tarehe ya kuwekwa: October 22nd, 2024

Kamati ya Fedha na Uongozi ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea imefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo katika kata mbalimbali. Lengo la ziara hii ni kufanya ufuatiliaji wa hatua za miradi inayoendelea kutekelezwa.

Miongoni mwa miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni pamoja na  Ofisi ya Kata Ndilimalitembo ambapo Ujenzi umegharimu shilingi 10,235,318.23, fedha za mapato ya ndani, Shule ya Sekondari Matogoro Ujenzi wa madarasa 5 na matundu 8 ya vyoo, ukigharimu shilingi 134,400,000 kutoka Serikali kuu, Shule ya Sekondari Mashujaa Ujenzi wa darasa 1 na matundu 8 ya vyoo, fedha kutoka Serikali kuu, Shule ya Sekondari Bombambili Ujenzi wa madarasa 4 na matundu 8 ya vyoo, ukigharimu shilingi 110,400,000 kutoka Serikali kuu, Kata ya Llilambo Ujenzi wa jengo la viwanda (Machinga) kwa shilingi 15,000,000, fedha za mapato ya ndani.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea, Mheshimiwa Michael Mbano, akizungumza katika ziara hiyo, amewataka wataalamu kuendelea kutenga bajeti ili kukamilisha majengo mbalimbali ambayo tayari yamejengwa lakini bado hayajakamilika.

Aidha, amesisitiza umuhimu wa kuongeza jitihada  katika kusimamia miradi ili iweze kukamilika kwa wakati.

Ziara hiyo ilifanyika leo tarehe 22 Oktoba 2024 na ilihudhuriwa na wajumbe wa kamati pamoja na Menejimenti ya watumishi, Kamati inaendelea kuhamasisha ufanisi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika  Manispaa ya Songea.

IMEANDALIWA NA;

AMINA  PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO  SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa