• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAANZA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO 11-12 MEI 2023

Tarehe ya kuwekwa: May 11th, 2023

KAMATI ya Fedha na Uongozi Manispaa ya Songea ikiongozwa na Mstahiki Meya Michael Mbano  amewataka  wataalamu  kuhakikisha wanasimamia miradi kikamilifu  na  kukamilika kabla tarehe 30 juni 2023.

Agizo hilo limetolewa  katika ziara ya kamati ya Fedha na Uongozi  inayoendelea  kufanyika kwa siku mbili kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe 12 Mei 2023  kwa lengo la kukagua miradi miradi ya maendeleo ili kulinganisha hali ya mradi na thamani ya fedha.

Miongoni mwa miradi iliyotembelewa leo ni pamoja na mradi wa ukamilishaji wa   chumba 1 cha darasa shule ya Msingi Ruvuma kwa thamani ya Mil. 18,750,000 fedha kutoka Serikali kuu, ukamilishaji wa vyumba vya madarasa  2 Shule ya Msingi Mbulani kwa thamani ya Mil. 25,000,000 kutoka Serikali kuu, Ukamilishaji wa Madarasa 2 Shule ya Msingi  Kipera kwa thamani ya Mil. 20,000,000 fedha za mapato ya ndani, na Ujenzi wa Uzio wa Bweni la watoto  wenye mahitaji maalumu Shule ya Msingi Subira kwa thamani ya Mil. 60, 000,000 fedha ktoka Serikali kuu.

Miradi mingine ambayo imetembelewa ni pamoja na ujenzi wa Ofisi ya Mtaa wa LAMI kwa thamani ya Mil. 15,000,000 fedha kutoka mapato ya ndani, ukamilishaji wa matundu 10 ya vyoo Shule ya Msingi  Muungano kwa thamani ya Mil. 5,000,000 fedha kutoka mapato ya ndani, Ukamilishaji wa madarasa  mawili 2 Shule ya Msingi  Londoni kwa thamani ya Mil. 25,000,000 kutoka Serikali kuu, Ujenzi wa madarasa 2 Shule ya Msingi London kwa thamani ya Mil. 20,000,000 fedha kutoka mapato ya ndani, na ukamilishaji wa bweni 1 la Shule ya Sekondari ya Wavulana  kwa thamani ya Mil. 22,000,000 fedha kutoka Serikali kuu.

Miradi mingine ambayo imetembelewa ni pamoja na ujenzi wa Ofisi ya Mtaa wa LAMI kwa thamani ya Mil. 15,000,000 fedha kutoka mapato ya ndani, ukamilishaji wa matundu 10 ya vyoo Shule ya Msingi  Muungano kwa thamani ya Mil. 5,000,000 fedha kutoka mapato ya ndani, Ukamilishaji wa madarasa  mawili 2 Shule ya Msingi  Londoni kwa thamani ya Mil. 25,000,000 kutoka Serikali kuu, Ujenzi wa madarasa 2 Shule ya Msingi London kwa thamani ya Mil. 20,000,000 fedha kutoka mapato ya ndani, na ukamilishaji wa bweni 1 la Shule ya Sekondari ya Wavulana  kwa thamani ya Mil. 22,000,000 fedha kutoka Serikali kuu.

Aidha Miradi mingine ni ukamilishaji wa matundu 10 ya vyoo shule ya Msingi Likuyufusi kwa thamani ya Mil. 10,000,000 fedha kutoka Serikali kuu, ukamilishaji wa madarasa mawili Shule ya Msingi Sabasaba kwa thamani ya Mil. 25,000,000 fedha kutoka Serikali kuu, Ukamilishaji wa Maabara  Shule ya Sekondari Matarawe kwa thamani ya Mil. 12,000,000 fedha za mapato ya ndani, pamoja na ukarabati wa Ofisi ya Kata ya Matarawe kwa thamani ya Mil 5,000,000 fedha za mapato ya ndani.

Mhe Mbano ametoa pongezi kwa wataalamu hao kupitia utekelezaji na usimamizi wa miradi ya maendeleo huku akiwataka  kuzingatia  miradi iendane na thamani ya fedha.

Ziara hiyo itahitimishwa kesho tarehe 12 Mei 2023 kwa kutembelea kata ya Tanga, Mshangano, na kata ya Mletele.

IMEANDALIWA NA;                                                                       

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.





Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa