• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI ya Siasa ya CCM Mkoa wa Ruvuma yakagua mradi wa stendi mpya ya mabasi Songea

Tarehe ya kuwekwa: September 4th, 2019

KAMATI ya Siasa ya   chama cha  Mapinduzi (CCM)Mkoa wa Ruvuma, wakiongozwa  Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Oddo Mwisho na Mkuu wa  Mkoa wa Ruvuma, Bi Christina Mdeme wamekagua mradi wa standi kuu ya Mkoa inayojengwa kata ya Tanga Manispaa ya Songea.

Akitoa taarifa kwa wajumbe wa kamati ya siasa Kaimu Mhandisi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea,Nicholaus Danda amesema mradi unatarajiwa kukamilika mwezi septemba,2019 ambao umegarimu Zaidi ya Bilioni 6,189 na mpaka sasa mkandarasi ameshalipwa Zaidi ya Bilioni 3,606 na mradi umefika asilimia 80 ya utekelezaji.

Danda ameyataja malengo ya kujenga standi hiyo ni kupunguza msongamano wa magari,kuboresha sekta ya usafirishaji,kupanua mji na kuongeza Ajira, kujenga barabara katika kiwango cha lami nzito km 2 umefikia asilimia 70.

Ameyataja malengo mengine kuwa ni  ujenzi wa mfereji asilimia 40, sehemu ya kuegesha magari asalimia 90,vyumba vya maduka 30 vimefikia asilimia 95,vyumba vya kukatia tiketi 20 vimefikia asilimia 95,jengo la utawalalimefika asilimia95, ujenzi wa choo cha umma umefikia asilimia 90,ujenzi wa sehemu za kukaa abiria umefikia asilimia 95,kuvuta umeme wa Tanesco asilimia100, Taa za barabarani (SOLAR)asilimia 10.

”Mhandisi Mshauri wa mradi huu ni kampuni ya BICO-Bureau for Industrial Cooperation kwa gharama Zaidi ya Bilioni 319,Mkataba na LGA/103/2017/2018/C/102 ambao umeanza tarehe 25 Machi,na unatarajiwa kumaliza muda wake septemba 30,2019.Mpaka sasa Mkandarasi amelipwa Zaidi ya Bilioni 229,”.amesema Danda.

Naye,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mdeme ameshauri katika eneo la standi waweke sehemu ya kupaki Pikipiki,Bajajina kila eneo kuweka mabango yatakayoweza kumjulisha mtu akae katika eneo lake.

Kwa upande wake,Mwenyekiti wa Chama cha Mpinduzi (CCM) Odo Mwisho ameshauri wabadilishe mita za umeme ambazo zimewekwa kwenye fremu za maduka zisiwe za kuchangia kila chumba kiwe na mita yake ili kuepusha migogoro hapo badae,ni vizuri kuwasiliana na Halmashauri ya Mnispaa ili kutatua bajeti ndogo waliyokuwanayo.

Tanzania imepokea mkopo toka Benki ya Dunia Chini ya kuzijenga serikali za mitaa (Urban Local Government Strengthening Program (ULGSP) mpango huu ili kuendeleza miundombinu ya miji 18 ya Tanzania Bara. Miji ambayo inafaidika na mpango huu ni Songea, Sumbawanga, Singida, Tabora ,Shinyanga, Musoma, Moshi, Bukoba ,Lindi, Morogoro, Iringa, Babati, Masasi , Kibaha, Njombe , Mpanda, Korogwe na Geita.

Imeandaliwa na 

Farida Mussa 

wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea.

Agosti 29,2019

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa