• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Tarehe ya kuwekwa: September 9th, 2024

Kamati ya siasa wilaya ya Songea kupitia mwenyekiti wa ccm wilaya  Mh. Mwinyi Msolomi imempongeza mkurugenzi wa manispaa ya songea bashiru muhoja nawatendaji wake kwa kuweza kumaliza baadhi ya miradi  katika Manispaa hiyo na mingine kufikia hatua za mwisho  za kumalizika.

Ameyasema hayo wakati wa ziara ya kukagua miradi ya serikali katika manispaa ya songea akiambatana na kamati ya siasa wiliya ambapo Mh. Msolomi Amempongeza mkurugenzi wa manispaa ya songea na watendaji wake kwakumaliza baadhi ya miradi kiustandadi na mingine kufukia hatua za mwisho, pia amempongeza mkurugenzi kwa kuweza kuipeleka miradi hiyo nje ya mji kwasababu itasaidia kupanuka kwa mji kwa wananchi kufuata maeneo hayo kwa sababu ya miundombinu bora itakayo wavutia.

Aidha kupitia ziara hiyo Mh. Msolomi amemtaka mkurugenzi na watendaji wake kuepuka kumtumia mkandarasi mmoja katika kusimamia miradi yote bali kugawa miradi hiyo kwa wakandarasi tofauti tofauti hii itasaidia kurahisha miradi hiyo kumalizika kwa wakati, kwasababu mkandsarasi anapopata changamoto kwenyue mradi mmoja mingine itakua inaendelea lakini ukimtumia mkandarasi mmoja akipata changamoto basi miradi yote anayo isimamia itakwama  na haitamalizika kwa wakati.

Hata hivyo mh. Msolomi amewataka wakandarasi wanao simamia miradi hiyo kuwajali wafanyakazi wa kitanzania kwakuwalipa kufuatia sheria za nchi zinavyotaka na kupewa haki zao zote ili weaweze kujikwamua kiuchumi na sio kuwakandamiza, hii itasaidia pia kwa miradi hiyo kuacha faida kwa vijana wakitanzania wanaofanya kazi katika miradi hiyo.

Mh. Mwinnyi Msolomi amemshukuru mkurugenzi kwakuweza kuisimamia miradi hiyo kwa uaminifu na weledi mkubwa nakumalizika kwa mpaka kwaubora unaostahili , kwahiyo yeye na kamati ya siasa  wameridhishwa na miradi hiyo iliyomalizika na wamemwomba hiyo iliyobaki iweze kukamilika kwa ubora uleule.


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa