• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KARAKANA ya Manispaa ya Songea ilivyojipanga kuongeza mapato

Tarehe ya kuwekwa: June 28th, 2018

KARAKANA ya useremala ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea ilianza rasmi mwaka 1986 baada ya kufungwa mitambo ya kulanda mbao kwa ufadhili wa Shirika la NIDA.

Kulingana na taarifa ya karakana hiyo mwaka 1992 ilipata ufadhili mwingine wa mitambo na wataalam toka Shirika la Maendeleo la Ujerumani(GDS) kwa kuongeza mitambo na vifaa vya mikono hali iliyosababisha karakana hiyo kujiendeshakibiashara.

Karakana ya Manispaa ya Songea bado inatoa mchango wa pato la Halmashauri na kufanya kazi nyingine za huduma kwa Halmashauri ikiwemo utengenezaji wa madawati na meza kwa ajili ya shule za msingi na sekondari.

Katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2017/2018,karakana ya Manispaa ya Songea ilipangiwa kukusanya shilingi milioni sita ambapo hadi sasa imefanikiwa kukusanya shilingi milioni 4.88 sawa na asilimia 81.

Licha ya mafanikio hayo,karakana hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo kutolipwa kwa baadhi ya madeni ambapo hadi sasa zinadaiwa zaidi ya shilingi milioni 3.4 toka kitengo cha biashara,Idara ya Utawala,Idara ya Elimu Sekondari na Idara ya Afya.

Karakana ya Manispaa ya Songea iwapo itapewa ruzuku ya kutosha itaweza kununua malighafi na vitendeakazi vya kutosha sanjari na kuwalipa vibarua hali ambayo inaweza kuongeza uzalishaji hivyo kuchangia zaidi mapato ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Juni 28,2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa