• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KATA YA MATOGORO YAKABIDHI MADAWATI 502 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

Tarehe ya kuwekwa: May 18th, 2023

Kata ya Matogoro nimiongoni mwa kata 21 zilizopo ndani ya Manispaa ya Songea ambayo imekuwa ikitekeleza   shughuli mbalimbali za maendeleo kwa kushirikisha wananchi na Wadau katika kutatua changamoto za miundombinu ya  Elimu, Afya kwa lengo kuunga Mkono Jitihada za Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Katika kutatua changamoto hizo kwa kushirikiana na wataalamu, wananchi na uongozi wa kata wameweza kutengeneza Madawati 382 kwa kupitia nguvu za wananchi, na madawati 120 mchango kutoka kwa Mhe. Diwani sawa na  jumla ya madawati 502 kwa ajili ya shule Sekondari  na Shule ya Msingi Matogoro.

Hayo yamejili wakati wa kukabidhi madawati kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea  iliyofanyika  kwenye  mkutano wa hadhara ambao ulihudhuriwa na wananchi, viongozi wa vyama vya Siasa, Wataalamu na Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Matogoro tarehe 17 Mei 2023.


Akipokea madawati hayo Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Dkt. Frederick Sagamiko alisema “ Niwa jibu wa Serikali kuhakikisha wanafunzi wanapata miundombinu bora ya kusomea na kijifunzia ikiwemo na madawati, viti, meza na madarasa ambapo katika kutekeleza wajibu huo Serikali ilitoa fedha Bil 1.52 kujenga madarasa 76 na madawati 3800 ili kuboresha mazingira ya Elimu.

Akitoa pongezi kwa Uongozi wa Kata ya Matogoro kwa uzalendo uliotukuka  kwa kutengeneza madawati/Viti na Meza 502 kwa lengo la kuondoa upungufu wa madawati kwa wanafunzi, utoaji wa chakula shuleni  nauanzishaji wa  Benk ya madawati. “Aliwapongeza.”

Dkt. Sagamiko aliongeza kuwa, Diwani wa kata ya Matogoro ni kiongozi mwenye mfano wa kuigwa kwa kuwa hupenda kushirikisha jamii yake anayoitawala katika kutanzua changamoto za kata yake bila kusubili mchango kutoka Halmashauri, hivyo amewataka Watendaji wa kata nyingine kuja kujifunza namna wanavyo fanikiwa katika utendaji wa kazi hususani usimamiaji bora wa miradi na kukamilisha ujenzi wa miradi kwa wakati. “Alibainisha na kusisitiza.”

Kwa upande wake Diwani wa kata ya Matogoro Issa Mkwawa alisema “ Kutokana na upungufu uliojitokeza  wakati anaingia madarakani kwa kupitia Wataalamu wake waliandaa Mpango  Mkakati kuanza kuweka Benk ya Madawati kwa ajili ya Shule za Msingi na Shule za Sekondari ili kuondoa tatizo la madawati ambao hadi kufikia tarehe 17 Mei 2023 wameweza kutengeneza madawati 502 ambayo yamekabidhiwa kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea. “Aliwashukuru”.

Naye Afisa Elimu kata ya Matogoro Samson Mbunda alisema Shule ya Sekondari Matogoro ina jumla ya wanafunzi 1080, na  shule ya Msingi Matogoro ina jumla ya Wanafunzi 1252 ambapo kutokana na ushirikiano kutoka kwa  wananchi, pamoja na Diwani  wa Kata hiyo wameweza kutengeneza viti 502 ambayo yamekabidhiwa kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea kwa ajili ya matumizi ya shule husika hivyo kwasasa hakuna upungufu wowote wamadawati.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;                                                                                                                          

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa