• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KILA KATA ZAPELEKWA MIL. 20 KUTATUA CHANGAMOTO, BARAZA LA MADIWANI LAIDHINISHA.

Tarehe ya kuwekwa: February 16th, 2023

“ simamieni asilimia 10% iliyobakia ya wanafunzi wa kidato cha kwanza ambao hawajaripoti shule kwa kushirikisha Vikao vya kamati ya Maendeleo ya kata (WDC), Bodi za shule, Serikali za mitaa kwa   kuhakikisha kila mwanafunzi aliyechaguliwa kujiunga  kidato cha kwanza anaripoti shule.”

Hayo yamebainishwa na Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano katika Baraza la pili la Madiwani kwa mwaka wa fedha 2022/2023 lililofanyika leo tarehe 16 Februari katika Ukumbi wa Manispaa ya Songea ambalo limehudhuriwa na Waheshimiwa Madiwani, Wataalamu, viongozi wa vyama vya siasa na Wananchi mbalimbali kwa lengo la kupokea na kujadili taarifa  kutoka kwenye kamati za kudumu, na kuboresha utendaji kazi wa Halmashauri.

Mheshimiwa Mbano amewataka wataalamu na Madiwani kuwajibika kila mmoja katika eneo lake ili kuleta ufanisi katika kutekeleza majukumu ya Serikali sambamba na kusimamia miradi ya maendeleo kwa kuzingatia thamani ya fedha iliyotolewa. “Alisisitiza”

Ametoa wito kwa viongozi na wataalamu,  kusimamia miradi ipasavyo na endapo kutatokea chanagamoto yoyote inayokwamisha utendaji wa kazi wa mradi unashauriwa kupeleka taarifa kwa mkuu wa Idara husika ili kutatua changamoto hiyo sambamba na miradi yote iliyokamilika  itumike na wasiwe waanzishaji wa  miradi bila kukamilisha mradi.


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Manispaa ya Songea Alto Liwolelu amesema Halmashauri ya Manispaa ya Songea imeanza kutekeleza mkakati waliojiwekea wa kupeleka fedha Mil. 20 kila kata kwa kata 21 zenye jumla ya shilingi  Mil. 420 fedha za  mapato ya ndani   kwa ajili ya kutatua changamoto  zilizojitokeza  katika kata husika.

Alto aliongeza kuwa fedha hizo hupelekwa  kwa ajili ya  utekelezaji wa mradi husika pia hutekelezwa  kwa  kuzingatia miradi vipaumbele walivyojiwekea  na  hukaguliwa kwa  ajili ya kujiridhisha  tahamani ya fedha  . “Alibainisha”

Aidha, Kwa upande wa Waheshimiwa Madiwani walianza kwa kuwapongeza wataalamu kwa kwa kupanga bajeti ya Mil. 20 za kupeleka kwenye kila kata ambazo zinakwenda kutatua chanagamoto za eneo husika.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.






Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Chupa 14,789 za Damu Kukusanywa Mkoani Ruvuma

    June 04, 2025
  • Mazishi ya Muasisi wa TANU Alhaji Mustapha Songambele

    June 03, 2025
  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • Tazama zote

Video

katibu Mkuu CCM Taifa Aongoza Maziko ya Alhaji Songambele
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa