• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KILIMO CHA MAHINDI YA NJANO KUFUNGUA FURSA ZA WAWEKEZAJI RUVUMA.

Tarehe ya kuwekwa: August 30th, 2022

Na,

Amina Pilly.

Mstahiki Meya manispaa ya songea, Mhe. Michael Mbano ametoa wito kwa  wawekezaji wote kuja kujionea fursa mbalimbali za uwekezaji hususani katika sekta ya kilimo cha mahindi ya njano mkoani Ruvuma.

Wito huo umetolewa jana tarehe  29 agosti 2022 katika mkutano wa ufunguzi wa fursa za uwekezaji  uliofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa dhumuni la kustawisha uwekezaji katika sekta ya kilimo mkoani Ruvuma ambao  ulihusisha wadau wa kilimo, wananchi, wataalamu mbalimbali, wenyeviti kutoka kila Halmashauri pamoja na wakurugenzi.

Mhe. Mbano amewataka wananchi na wadau mbalimbali kutoa ushirikiano kwa wawekezaji ili iwe chachu ya maendeleo na kuwezesha kufungua fursa za kiuchumi na ajira mkoani Ruvuma.


Mkurugenzi wa manispaa ya songea, Dkt. Frederick Sagamiko alisema kuwa  viongozi, wadau pamoja na wananchi kuendelea  kutumia fursa zilizopo za uwekezaji  ili kuinua uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla.

Aidha, Mkurugenzi wa Miradi ya Sera na  UNDP Amon Manyama amewataka wadau wa kilimo kutumia njia bora na za kisasa ambazo  zitawezesha kuongeza ufanisi katika kilimo cha mahindi ya njano ili kuongeza uzalishaji wa mazao bora, ikiwemo na kilimo cha umwagiliaji. Alibainisha

Mwekezaji wa kampuni ya “SMART FOR IMPORT & EXPORT” Mr. Bassem amesema wamekuja Tanzania kwaajili ya kuwekeza katika ununuzi wa mahindi ya njano  kuanzia tani milioni moja 1,000,000 kwa mwaka kwa lengo la kupeleka nchini Misri kwa shughuli mbalimbali.

Mr. Bassem ameongeza katika kutekeleza  kwa ufanisi, Kampuni ya Import and Eaxport watafanya utaratibu wa kuleta mtaalamu wa kilimo kwa ajili ya kufanya tafiti mbalimbali ili kuhakikisha wakulima wanalima kilimo bora na chenye tija.

Hata hivyo wadau wa kilimo wakiongea kwa nyakati tofauti  walisema “wako tayari kutoa ushirikiano wa dhati kwa kampuni hiyo ya uwekezaji kwa kusudi la kuinua uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa