• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIWANDA chenye uwezo wa kusaga mahindi magunia 300 kwa siku chazinduliwa Songea

Tarehe ya kuwekwa: September 22nd, 2018

IKIWA ni takribani wiki moja imepita hadi sasa tangu umeme wa Grid ya Taifa ulipowashwa katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amezidua kiwanda kipya kilichojengwa katika kata ya Ruhuwiko Manispaa ya Songea chenye uwezo wa kusaga mahindi tani 30 ambayo ni sawa na magunia 300 kwa siku.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji akizungumza katika mkutano wa Baraza maalum la  madiwani wa Manispaa hiyo wenye lengo la kuwasilisha taarifa za Hesabu za kufunga mwaka 2017/2018,amesema kiwanda hicho kimezinduliwa wakati muafaka kwa sababu hivi sasa kitapunguza changamoto za soko la mahindi katika manispaa  ya Songea na mkoa wa Ruvuma na kutoa ajira kwa vijana.

Amesema licha ya kiwanda hicho hivi karibuni mwekezaji mwingine Mohamed Enterprises anatarajia kufungua kiwanda cha kusaga mahindi chenye uwezo wa kusaga mahindi tani 100 kwa siku hali ambayo itazalisha ajira mbalimbali kwa vijana na kupunguza tatizo la soko la mahindi ambalo ni changamoto kubwa kwa wakazi wa mkoa wa Ruvuma ambao wanazalisha mahindi kwa wingi.

Sera ya uchumi wa viwanda katika Manispaa ya Songea ambayo imeanzishwa na Rais wa  Awamu ya tano sasa inatekelezwa kwa vitendo katia manispaa ya Songea ambapo hadi sasa manispaa hiyo ina jumla ya viwanda 500 vilivyogawanyika katika makundi manne ambayo  ni viwanda vikubwa sana,viwanda vya kati,viwanda vidogo na viwanda vidogo sana.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea 

Septemba 22,2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Samia Awasili Ruvuma.

    July 30, 2025
  • Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

    July 29, 2025
  • Songea MC Yadhamiria Kuboresha Lishe na Kuondoa Udumavu

    July 25, 2025
  • Songea MC - Yaibuka na Ushindi katika Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Namtumbo.

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Dkt. Samia Akiwasili Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa