• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAADHIMISHO YA NANENANE 2020 YASISITIZA KUCHAGUA VIONGOZI BORA.

Tarehe ya kuwekwa: August 5th, 2020

Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa Mikoa saba inayozalisha mazao ya chakula na biashara kwa wingi nchini Tanzania,  ambapo kwa mwaka  2019 Mkoa wa Ruvuma uliongoza kwa mazao mengi ya chakula kwa  nchi nzima.

 Hayo yamebainika  katika uzinduzi wa maadhimisho ya maonesho ya nanenane    yaliyofanyika kimkoa  katika uwanja wa Nanenane mjini songea jana 04/08/2020.

Mgeni rasmi katika uzinduzi wa  maadhimisho hayo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ambaye aliwakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga  Cosmas Ishenye.

Ishenye alisema Mkoa wa Ruvuma kwa mwaka 2015 ulikuwa na jumla ya ng’ombe  117,334, mbuzi 227,186,  kondoo 22,432, na  nguruwe 223,676,  ambapo kwa mwaka 2020 mifugo hii imeongezeka na kufanya Mkoa kuwa na Ng’ombe 190,514, Mbuzi 272,147, Kondoo 30625, Nguruwe 315,923, ambapo ongezeko hilo la mifugo limepelekea uzalishaji wa mifugo kuongezeka na kufikia tan 7851 za nyama ya ng’ombe,  tan 4906 za  nyama ya Mbuzi, tan 871 za nyama ya Kondoo, na tan 14,033 za nyama ya Nguruwe, wakati huo uzalishaji wa mayai umeongezeka na kufikia mayai mil 112,418,647 hadi mwezi may 2020.

Aliongeza kuwa “  Mh. Rais Dr John Pombe Magufuli  ametoa fedha Tsh Bilioni 3 (tatu) kwa ajili ya ujenzi wa machinjio ya kisasa iliyopo kata ya Tanga Manispaa ya Songea yenye uwezo wa kuchinja Ng’ombe 100 na Mbuzi 200 kwa siku ambayo ni hazina kwa wachinjaji na Wananchi kwa ujumla.”

Kauli mbiu katika maadhimisho ya Nanenane 2020 ; Kwa maendeleo ya Kilimo, Mifugo, na Uvuvi chagua viongozi bora 2020.

IMEANDALIWA NA; 

AMINA PILLY,

KAIMU AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

05.08.2020

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa