• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAANDALIZI ya kuupokea Mwenge wa Uhuru Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: May 1st, 2018

Maandalizi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma yamepamba moto  kwa kuhakikisha miradi yote inayotarajiwa kuwekewa mawe ya msingi na kuzinduliwa inakamilika mapema.

Wakuu wa Idara,vitengo,maafisa watendaji wa Mitaa na Kata katika Manispaa ya Songea Aprili 30 mwaka huu wamekutana kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea kujadiliana kuhusu miradi 11 iliyopendekezwa kingie kwenye ratiba ya Mwenge wa Uhuru mwaka huu.

Mwenge wa Uhuru katika Manispaa hiyo unatarajiwa kuingia Juni 7,2018,ukitokea Halmashauri ya Wilaya ya Songea ambao utapokelewa katika shule ya msingi Mang’ua Kata ya Lilambo na kukimbizwa katika maeneo mbalimbali yenye miradi kisha kukesha katika Soko la Mjimwema kata ya Mjimwema na hatimaye kukabidhiwa Halmashauri ya Madaba Juni 8 mwaka huu.

Kwa mujibu wa Mratibu wa Mwenge wa Uhuru Manispaa ya Songea Yonas Faraja,Manispaa ya Songea imependekeza miradi 11 ambayo inatarajiwa kuwekewa mawe ya msingi na kuzinduliwa.

Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Songea ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mkuu wa wilaya hiyo Pololet Mgema na Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Tina Sekambo inaendelea kukagua miradi yote ambayo inatarajiwa kuwekewa mawe ya msingi na kuzinduliwa katika manispaa hiyo.

Mwenge wa Uhuru umelenga kuleta hamasa ya kuleta mabadiliko kwa kuhamasisha miradi mbalimbali ya maendeleo ili wakazi wa Songea na  watanzania kwa ujumla waweze kupata maendeleo endelevu.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Mei Mosi,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa