• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MACHINJIO ya kisasa ya Songea kukamilika Oktoba 2018

Tarehe ya kuwekwa: August 12th, 2018

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Josephat Sinkamba Kandege yupo mkoani Ruvuma ambapo anatembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Naibu Waziri huyo wa TAMISEMI amekagua mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa katika Kata ya Tanga manispaa ya Songea.

Mradi huo ambao umefikia Zaidi ya asilimia 60 unatarajia kukamilika Oktoba mwaka huu ambapo hadi sasa Mkandarasi ameshalipwa Zaidi milioni 900 ambayo ni asilimia 35 ya malipo ya mradi huo ambao unagharimu Zaidi ya bilioni 3.2.

Akitoa taarifa ya mradi huo,Kaimu Mhandisi wa Ujenzi wa Manispaa ya Songea Mhandisi Nicolus Danda amesema mradi wa machinjio ya kisasa unafadhiliwa na Benki ya Dunia kwa gharama ya shilingi bilioni 3.2.

Amemtaja Mkandarasi wa mradi huo ambaye hadi sasa amelipwa shilingi milioni 900 kuwa ni Kampuni ya Giraffe ambapo mkataba wake ni wa mwaka mmoja ambao umeanzia Julai Mosi 2017 na kukamilika Julai mosi, 2018.

Hata hivyo Mkandarasi huyo ameomba kuongezewa miezi mitatu ili kukamilisha kazi hiyo na kuzitaja sababu zilizochelewesha mradi huo kuwa ni marekebisho ya michoro,kuchelewa kukabidhiwa mradi na kuongezeka kazi za ziada ikiwemo uzio na barabara.

             

Kwa mujibu wa Danda kazi ambazo zinafanyika kwenye mradi huo ni ujenzi wa machinjio yenye urefu wa meta 64 na upana wa meta 24,ujenzi wa zizi lenye uwezo wa kuhifadhia ng’ombe 200 na ujenzi wa uzio,tanki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita ya 162,000.

Kazi nyingine anazitaja kuwa ujenzi wa nyumba mbili ikiwemo ya daktari wa mifugo na mlinzi,ujenzi wa barabara ya kilometa moja ambayo itazunguka eneo la mradi na ujenzi wa maeneo ya kupaki magari.

Wawakilishi toka Benki ya Dunia mwezi Machi mwaka huu walifanya ukaguzi katika mradi huo na kuridhishwa na viwango vya ujenzi wa mradi huo.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA October 17, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Oktoba 2025 October 18, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Ndumbaro Aibuka Mshindi Ubunge Jimbo la Songea Mjini

    October 30, 2025
  • Rc Ruvuma Akabidhi Magari 4 Yenye Thamani ya Bil. 2.2 Kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Ruvuma

    October 26, 2025
  • Washiriki 1,542 Wapata Mafunzo ya Usmamizi wa Vituo na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo.

    October 26, 2025
  • WASHIRIKI 542 WAPATA MAFUNZO YA MAKARANI WAONGOZAJI

    October 25, 2025
  • Tazama zote

Video

RAIS DKT. SAMIA AKIMUAPISHA WAZIRI MKUU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200