• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA Songea ilivyodhamiria kuwatua ndoo kichwani wananchi

Tarehe ya kuwekwa: June 27th, 2018

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea kupitia program ya maji na usafi wa mazingira inaendelea  kukarabati visima vya maji 89 lengo ni kuongeza utoaji huduma ya  maji kwa wananchi.Mradi huo unaotekelezwa katika kata 10 unagharimu zaidi ya shilingi milioni 294.Hadi sasa visima 61 vimekarabatiwa bado visima 28.

Kamati ya Fedha na Uongozi ya  Halmashauri ya Manispaa ya Songea imekagua visima vilivyokarabatiwa na kubaini visima vyote vinatoa maji na wananchi wanafurahia huduma ya maji jirani na maeneo ambayo wanaishi.Hata Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea ameagiza Idara ya Maji katika Manispaa hiyo kukamilisha haraka ukarabati wa visima 28 vilivyobakia ili kumaliza kero kwa wananchi wa maeneo husika ikiwemo kata ya Subira ambayo haijakarabatiwa hata kisima kimoja.

Visima vilivyokarabatiwa ni vya muda mrefu tangu kujengwa kwake miaka ya 1985 na 1992 ambavyo miundombinu yake ya ndani ya visima imechakaa hivyo kushindwa kutoa maji kwa wananchi.Ukarabati wa visima hivyo umeanza tangu Februari 2018 ambapo hadi sasa visima 61 vilivyokarabatiwa vinatoa maji na kwamba Idara ya Maji kupitia watalaam wake wanaendelea kukarabati visima 28 vilivyobakia  lengo ni kukamilisha visima vyote 89 ili huduma ya maji kwa wananchi ipatikane kwa wakati.

Mchanganuo wa visima vilivyokarabatiwa unaonesha kuwa katika kata ya Lilambo visima vinavyokarabatiwa ni 16,Tanga visima 20,Metele visima vitatu ,Seedfarm visima viwili,Ruhuwiko visima 14,Mshangano visima viwili na Kata ya Ruvuma visima vinne.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Juni 27,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa