• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea ilivyotekeleza programu ya maji

Tarehe ya kuwekwa: September 22nd, 2018

MPAKA kufikia Juni, 2018, upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imefikia asilimia 50.1 sawa na idadi ya watu 45,929 kwa wakazi waishio pembezoni mwa Mji wa Manispaa ya Songea yaani sehemu ambazo Mamlaka ya Maji safi na Taka (SOUWASA) hawajaweza kutoa huduma ya Maji safi na Salama.

Mkuu wa Idara ya Maji katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mhandisi Samwel Sanya anasema  Halmashauri mwaka 2007 wakati inaanza kutekeleza programu ya maji ilikuwa na asilimia 17 tu na kwamba tangu mwaka 2007 inaendelea Kutekeleza Programu ya maji na Usafi wa Mazingira katika Mitaa 10 ,awamu ya kwanza ambayo ni Mahilo, Chandarua, Muhombezi, Muungano, Mahinya, Ngandula, Ruhuwiko Kanisani, Mitendewawa, Ruhila kati na Liwumbu.

Hata hivyo anasema Mpaka kufikia mwaka 2018, Utekelezaji wa ujenzi wa miundombinu ya maji,awamu ya kwanza umekamilika kwa asilimia 95. Mitaa ya Mitendewawa na Ruhila Kati ujenzi wa miundombinu ya maji upo hatua za mwisho za ukamilishaji. Mtaa wa Liwumbu ulikosa chanzo cha maji kabisa kutoka ardhini (ground water).

Kulingana na Mhandisi Sanya, Halmashauri imeendelea kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya maji kupitia Programu ya Maji na Usafi wa Mazingira (phase II) katika Mitaa ya Mwengemshindo, Pambazuko, Mletele, Mjimwema, Makemba, Mdundiko, nonganonga, Liwumbu, Nangwahi,Subira Kati,Kisiwani C, Lami na Kihekwa.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Septemba 22,2018.


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa