• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA YA SONGEA KUNUNUA MAHINDI TANI 400

Tarehe ya kuwekwa: November 19th, 2017

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imepangiwa na Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula(NFRA) katika msimu huu kununua mahindi  tani 400.Afisa Kilimo wa Manispaa ya Songea Mushoborozi Christian amesema Halmashauri hiyo imepokea barua toka NFRA inayotoa maelekezo ya ununuzi wa mahindi katika awamu ya tatu msimu wa mwaka 2017/2018.

Amesema katika Manispaa ya Songea Kata saba tu kati ya Kata 21 zinaruhusiwa kununua mahindi katika kituo cha NFRA ambapo wananchi wanatakiwa kupeleka mahindi kwa ajili ya kuuza.Mushoborozi anazitaja Kata ambazo zinahusika katika ununuzi wa mazao hayo kuwa ni Lilambo ambayo imepangiwa kununua tani 100,Subira 100,Mjimwema 40,Ruhuwiko 60,Mshangano 40, Matogoro 30 na Ndilimalitembo tani 30 hivyo kufanya jumla ya tani 400.

Hata hivyo Mtaalam huyo wa kilimo amewaasa wananchi wote wanauza mazao hayo,kuhakikisha mahindi wanayopeleka kuuza yasiwe na uchafu ili kuondoa usumbufu na kwamba wananchi wanatakiwa kuuza mahindi kulingana na mgawo wa ununuzi kwa kila Kata husika.“Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya Kata kutofikia malengo ya serikali ya kuuza mahindi NFRA,katika awamu hii Afisa Mtendaji wa Kata atakayeshindwa kuhamasisha wakulima kuuza mahindi NFRA atawajibishwa’’,anasisitiza Afisa Kilimo huyo.

Kulingana na Mtaalamu huyo,Mkulima anaruhusiwa kuuza tani moja tu ya mahindi NFRA  na kwamba bei ya kilo moja ni shilingi 500 na kwamba zoezi la kupeleka mahindi NFRA linatakiwa kukamilika Novemba 17.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa