• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA YA SONGEA KUTEKELEZA KILIMO CHA PAMOJA - BLOCK FARMING

Tarehe ya kuwekwa: October 5th, 2021

Na  AMINA PILLY

      AFISA HABARI – MANISPAA YA SONGEA

Halmashauri ya Manispaa ya Songea  imeweka mkakati wa utekelezaji wa Sera, Programu ya kilimo cha Kibiashara   na Manufaa kwa Wananchi  ambapo ili kufanikiwa utekelezaji wa mkakati huo Manispaa ya Songea  imeweka utaratibu wa uanzishwaji wa kilimo cha Pamoja (Block Farming) kwa wakulima wa Manispaa ya Songea, chenye  ukubwa wa mashamba kuanzia ekari 500 na zaidi.

Utekelezaji wa Mkakati huo umetokana na agizo la Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Balozi Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge ambaye ameelekeza Halmashauri zote Mkoani Ruvuma kuandaa na kuanzisha kilimo cha Mashamba Makubwa kuanzia  ekari 500 na Zaidi  (Block Farming), ambapo kutokana na Master Plan ya Manispaa ya Songea, Maeneo yaliyo ainishwa kwa shughuli za kilimo hicho yanapatikana  katika  kata nne (4) ambazo ni Tanga, Lilambo, Mletele na Subira.

 

Block Farming ni mfumo/utaratibu wa kulima kwa pamoja kwa kuunganishwa mashamba na kuwa katika block moja ambapo wakulima wanapatiwa huduma za kilimo ikiwemo pembejeo, huduma za ugani, zana za kilimo, na kupewa mafunzo kwa pamoja.

Kwa mujibu wa maelekezo hayo, mashamba Makubwa (Block Farming) ya pamoja  yatawawezesha wakulima  kupata huduma za ugani, matumizi ya zana bora za kilimo pamoja na misaada mingine ikiwemo miundombinu wakiwa katika eneo moja kubwa.

Amewataka  wananchi wote wa Manispaa wenye maeneo makubwa  kuanzia hekari 500 na zaidi, wajitokeze kwa wingi ili  kushiriki  kilimo cha pamoja  kwa mazao ya Soya na alizeti ambazo zitasaidia kukuza uchumi kijamii na Taifa kwa ujumla.

 Endapo  Mkulima hatakuwa na uwezo wa  kulima Hekari zote moja kwa moja anashauriwa kushilikiana na wakulima wengine wenye mashamba ili kutafuta wawekezaji, au taasisi mbalimbali zikaja kulima katika maeneo hayo kwa makubaliano maalumu na utaratibu mzuri ambao utaleta mafanikio.


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa