• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA YA SONGEA YAENDELEA KUPAMBANA NA UTAPIAMLO.

Tarehe ya kuwekwa: October 29th, 2021

NA,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

29.10.2021

Halmashauri ya Manispaa ya Songea imeweka mkakati wa kutenga bajeti kwa kutoa shilingi 1000 kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka 5 kwa lengo la kutekeleza afua ya mkataba wa lishe ndani ya Manispaa ya Songea.

Hayo yamebainishwa na  Andambike Kyomo - Mchumi Manispaa ya Songea kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa,  wakati wa ufunguzi  wa kikao kazi cha kamati hiyo kilichofanyika leo tarehe 29 Oktoba 2021 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kwa lengo la kufanya tathimini ya utekelezaji wa shughuli za lishe robo ya kwanza kwa kipindi cha Julai hadi Septemba kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Akizungumza katika kikao hicho Kyomo ametoa wito kwa kamati ya lishe Manispaa ya Songea kusimamia shughuli za lishe kwa ukamilifu hasa kwa watoto wenye umri wa miaka 5 pamoja na watoto waliopo mashuleni wenye umri chini ya miaka 18 .

Amewataka wanakamati hao kufuatilia takwimu zinazotolewa kwenye taarifa na kuzilinganisha na uhalisia wa hali ya lishe ulivyo hasa kwenye maeneo ya shule za Msingi ndani ya Manispaa ya Songea  ikiwemo na hali ya utoaji chakula kwa wanafunzi kwa muda wanapokuwa shuleni.

Kwa upande wake Afisa lishe Manispaa ya Songea Florentine Kissaka alisema kuwa jumla ya watoto 32234 wenye umri wa chini ya miaka mitano walichunguzwa hali ya lishe kati ya watoto 31512 ambayo ni sawa na asilimia 102.3% ambapo kati ya watoto hao 29 waligundulika kuwa na utapiamlo mkali ambao ni sawa na asilimia 0.1%.

Aliongeza kuwa watoto 31450 wenye umri chini ya miaka mitano ambao ni sawa na asilimia 97.6% waliochunguzwa hawakuwa na utapiamlo ambapo watoto waliogundulika kuwa na utapiamlo walipewa rufaa kwenda hospitali ya rufaa kwenda hospitali ya rufaa Songea kwa ajili ya kupatiwa matibabu.”Kissaka alibainisha “

Alisema kuwa kamati imejipanga kutembelea kata 21 za Manispaa ya Songea kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusiana na namna ya kuandaa lishe bora pamoja na kuwahamasisha wazazi wenye watoto mashuleni umuhimu wa kuchangia chakula kwa watoto wanapokuwa shuleni ambapo hadi sasa shule za msingi 30 kati ya shule 50 zilizotembelewa zinatoa chakula shuleni (Idadi ya shule za msingi Manispaa ya Songea ni 92) ambapo hadi kufikia Januari 2022 shule zote zinatakiwa kutoa chakula kwa wanafunzi  muda wote wa masomo.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa