• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Manispaa ya Songea Yapata Hati Safi kwa Miaka 5 Mfululizo.

Tarehe ya kuwekwa: June 13th, 2025

Na. Amina Pilly,

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa mafanikio ya kupata hati safi kwa mara tano mfululizo kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Kanali Abbas ameagiza wakuu wa idara kushiriki kikamilifu katika maandalizi ya majibu ya hoja pamoja na utekelezaji wa mapendekezo ya CAG, akisisitiza umuhimu wa kutumia mifumo mipya ya ukaguzi na ufuatiliaji wa fedha. Vilevile, amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya watumishi watakaobainika kusababisha hasara.

Kwa upande wake, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea, Mheshimiwa Michael Mbano, amesema zipo hoja 35 zinazopaswa kujibiwa ndani ya siku 90, huku akieleza kuwa baadhi ni za kibajeti na kiutendaji zinazohitaji maelezo, uhakiki na kufungwa rasmi.

CAG Nicholaus Abnon Killinga amepongeza Halmashauri kwa kuvuka malengo ya mapato, akisema licha ya kupata hati safi, hoja 35 bado ni nyingi na zinahitaji mkakati madhubuti wa kuzifunga. Aliongeza kuwa matarajio ni kwamba Manispaa ya Songea itakusanya mapato makubwa zaidi.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri, Wakili Bashir Muhoja, amesema hoja zilizohojiwa ni 36, ambapo hadi sasa 1 imefungwa, 27 ziko kwenye utekelezaji na 8 bado hazijatekelezwa.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chama Mkoa wa Ruvuma, Komredi Oddo Mwisho, amepongeza uongozi wa Halmashauri kwa kusimamia maendeleo na huduma bora kwa wananchi, na kufanikisha ukusanyaji wa mapato kwa 100% kabla ya mwaka wa fedha kuisha

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Meya wa Songea Atoa Wito kwa Familia Kuchangia Damu Kuokoa Maisha.

    June 14, 2025
  • Manispaa ya Songea Yapata Hati Safi kwa Miaka 5 Mfululizo.

    June 13, 2025
  • Wasira Amewataka Wananchi Kulinda Amani ya Taifa.

    June 13, 2025
  • Tazama zote

Video

SONGEA MC YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 5 MFULULIZO
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa