• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yapata Hati ya kuridhisha

Tarehe ya kuwekwa: May 5th, 2019

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imepata Hati ya kuridhisha katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo.

Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Tina Sekambo amesema Halmashauri hiyo imepata Hati ya kuridhisha kuanzia  mwaka wa fedha wa  2015/2016,2016/2017 na 2017/2018.

Sekambo amebainisha mwenendo wa makusanyo kwa miaka mitatu mfululizo katika kipindi hicho cha miaka mitatu kuwa ni  katika mwaka wa fedha wa 2015/2016,makisio yalikuwa ni kukusanya zaidi ya bilioni 3.247 ambapo makusanyo halisi yalikuwa ni zaidi ya bilioni 1.401 sawa na asilimia 43.

Amesema katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2016/2017,makisio ya makusanyo katika Halmashauri ya Manispaa yalikuwa ni kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 3.135 ambapo makusanyo halisi yalikuwa ni zaidi ya shilingi bilioni 2.697 sawa na asilimia 86.

“Katika mwaka wa fedha wa 2017/2018,makisio ya makusanyo kwa mwaka yalikuwa ni zaidi ya shilingi bilioni 3.349,ambapo makusanyo halisi yalikuwa ni zaidi ya bilioni 2.704 sawa na asilimia 81’’,amesema Sekambo.

Hata hivyo amesema hadi kufikia februari,2019 Halmashauri hiyo,imeweza kukusanya zaidi ya bilioni 1.720 kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato ya ndani ukiondoa mapato ya, vituo vya Afya na Ada za Shule.

Kulingana na Sekambo,hadi kufikia Februari, 2019 Halmashauri imepokea zaidi ya shilingi bilioni 21.736 sawa na asilimia 37 ya makisio ya bajeti ya Halmashauri.

Amesema kati ya fedha hizo zaidi ya bilioni  1.843 sawa na asilimia 58 ni makusanyo ya mapato ya ndani na zaidi ya shilingi bilioni  17.085 sawa na asilimia 62, ni fedha za mishahara.

Sekambo amesema zaidi ya shilingi milioni 678.72 sawa na asilimia 64 ni matumizi ya kawaida na zaidi ya shilingi bilioni  2.128 sawa na asilimia 8 ya mapokezi ya fedha za miradi kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

“Katika mwaka wa fedha 2018/2019 Halmashauri imepanga kukusanya na kutumia zaidi ya shilingi bilioni 59  kati ya fedha hizo na kwamba zaidi ya bilioni . 3.203 ni makadirio ya makusanyo ya mapato ya ndani,bilioni  27.751 ni Mishahara, zaidi ya bilioni 1,067 Matumizi ya kawaida(OC) na zaidi ya shilingi bilioni  27.220 ni  miradi ya maendeleo .

Hata hivyo amesema hadi kufikia Februari,2019 Halmashauri imetumia zaidi ya bilioni  8.233 sawa na asilimia 14 ya makisio ya bajeti ya Halmashauri na kwamba kati ya fedha hizo zaidi ya bilioni  1.608 sawa na asilimia 87 ni makusanyo ya mapato ya ndani.

Halmashauri ya Manispaa ya Songea, inaendelea kukusanya na kudhibiti ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa kutumia mfumo wa kielekroniki wa LGRCIS ambapo hadi sasa kuna mashine za ukusanyaji mapato (POS) 75.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa