• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yapata Naibu Meya mpya

Tarehe ya kuwekwa: September 6th, 2019

BARAZA la  Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma limemchagua  Asia Chikwale kuwa Naibu Meya mpya  wa Manispaa ya songea.

Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Abdul Mshaweji ameongoza zoezi la uchaguzi wa Naibu Meya katika  baraza la madiwani la  mwaka wa fedha 2018/ 2019  ambalo limefanyika katika  ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Kikao hicho pia kimewashirikisha  Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Tina Sekambo na Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema pamoja na watumishi wa Idara na vitengo wa Manispaa ya Songea.

Kwa upande wake, Mshaweji ameeleza umuhimu wa uchaguzi katika kulijenga taifa kwa kuwa kiongozi anayechaguliwa atashirikiana vyema na viongozi wa serikali na wananchi kuleta maendeleo ya Nchi.

“Uchaguzi huu unatija kwa wananchi naomba tuyatekeleze yote yaliyoainishwa.” Amesema Mshaweji

Naye, Diwani wa Viti Maalum  aliyekuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Songea Judith Mbogoro ametoa shukrani kwa madiwani wote na viongozi mbalimbali wa Manispaa ya Songea kwa ushirikiano aliupata katika kipindi chote alichokuwa Naibu Meya wa Manispaa na ameahidi kuwa atakuwa pamoja na kiongozi aliyechaguliwa na endapo atakwama sehemu atasita kumpa wazo.

“Najitambua na kujijua nitatoa ushirikiano daima.” Anasema Mbogoro

Vile vile, Diwani wa Viti maalum aliyechaguliwa kuwa  Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Asiah Chikwale amesema kuwa nafasi aliyoipata ataitumia vizuri kwa kushirikiana na viongozi wengine kuleta maendeleo ya Manispaa ya Songea,Mkoa na Taifa kwa ujumla wake.

“ nimechaguliwa kwa ajili ya wananchi, nitawajibika kwa ajili yao.” Amesema Chikwale

Uchaguzi wa meya wa Manispaa unafanyika kila mwaka wa fedha Nchini Tnazania.

Imeandaliwa na 

Farida Musa

Wa kitengo cha TEHAMA wa Manispaa ya Songea

September 5, 2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa