• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yapima viwanja ekari 172 kwa ajili ya viwanda

Tarehe ya kuwekwa: July 4th, 2018

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imetenga eneo la upimaji wa viwanja lenye ukubwa wa ekari 172 katika Kata ya Lilambo kwa ajili ya viwanda.

Eneo hilo limepimwa kwa ajili ya viwanda vya kati na kwamba viwanja hivyo vitajumuisha matumizi mbaimbali kama ya huduma za kijamii,makazi na biashara,vituo vya mafuta,hoteli,soko,maeneo ya kuabudia na maeneo ya wazi.

Mradi huo wa upimaji wa viwanja katika  Mtaa wa Lilambo B,ulianza kupitia mkutano wa hadhara na wananchi uliofanyika Aprili 17,2018 ambapo jumla ya wananchi 317 walihudhuria na kupokea mradi huo.

Taratibu za kutoa ardhi kisheria zilifuatwa kulingana na sheria ya Ardhi namba nne yam waka 1999 ambayo inaeleza wazi kuwa ardhi yoyote inayotwaliwa na serikali,Taasisi au mtu binafsi ni lazima ilipwe fidia timilifu ambapo wananchi wote walikubali.

Jumla ya fidia yote kwa wananchi hao ni Zaidi ya shilingi milioni 233.84 zinahitajika kuwalipa wananchi 75 ambao ardhi yao imetwaliwa kwa ajili ya matumizi ya viwanda  ni ekari 172.

Hata hivyo kutokana na fedha  iliyotengwa awali ilikuwa ni shilingi milioni 54,ikijumuisha ulipaji wa fidia na upimaji,Idara ya ardhi imeandaa dokezo lenye wananchi 15 lenye thamani ya shilingi milioni 47.9 malipo ambayo yanatarajiwa  kulipwa hivi karibuni

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Julai 4,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Samia Awasili Ruvuma.

    July 30, 2025
  • Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

    July 29, 2025
  • Songea MC Yadhamiria Kuboresha Lishe na Kuondoa Udumavu

    July 25, 2025
  • Songea MC - Yaibuka na Ushindi katika Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Namtumbo.

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Dkt. Samia Akiwasili Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa